Showing posts with label Arusha. Show all posts
Showing posts with label Arusha. Show all posts

Arusha. Tanzanite gemstones valued at more than 2.5 billion/- were auctioned during the recently held Arusha Gem Fair 2016. The blue stones were part of highly valued minerals impounded from smugglers in recent days.

The government, through the Ministry of Energy and Minerals, opted to auction gems, diamonds, gold and other valuable minerals that were impounded from smugglers. They were auctioned during this year's installment of the annual mineral fair.

Deputy Commissioner for Minerals Engineer Ally Samaje said the value of Tanzanite gemstones that were put up for auction in Arusha was worth more than 2.5 billion/- and sold under the hammer at the 5th installment of the annual Arusha Gems Fair 2016 held at the Mount Meru Hotel grounds.

“Each bidder was supposed to pledge the amount in secrecy, thus the value of each buyer remained under wraps to ensure that the government gets the highest value possible without the buyers colluding to keep prices low as it has been the case in other auctions involving valuable items,” said Engineer Samaje.
Gemstones

The 5th Arusha Gemstones Fair 2016 under the theme of 'Minerals of East Central and Southern Africa in one fair,' attracted participants from all over the world  with much of their interest being pegged on Tanzanite that is only found and mined in Northern Tanzania.

During the preceding Arusha Gem Fair of April 2015 Minerals and Gemstones worth 7.4 billion/- were sold, earning interest of more than 300 million/-. After the three days of this year's event at least 10 billion/- worth of transactions were expected, according the organizers.

“But the most important thing with this year’s fair is to have local miners and mineral dealers meet and exchange experience with counterparts from African countries and those hailing from as far as India, Australia, Israel, Thailand and Sir Lanka,” said the Deputy Commissioner of Minerals.

The Arusha-Urban District Commissioner, Mr Fadhili Nkulu was the guest honor during the opening ceremony of the Arusha Gem Fair 2016. He said locally mined minerals must be polished and processed in the country before export so as to add value and create employment.

Nearly 1000 exhibitors and participants were in Arusha to attend the gemstones Fair 2016 and among them 500 from Tanzania.

WANANCHI WAVAMIA SHAMBA LA MWEKEZAJI

Yafuatayo ni baaadhi ya mabango yaliyokutwa katika Karamu Estate lililopo kijiji cha Nndatu wilayani Arumeru, Arusha baada ya wananchi kuvamia shamaba hilo usiku wa manane na kuamua kuotesha migomba.







ONA MAONI GANI KUHUSU HILI?

Baadhi ya Watoto 18
Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey Kamwela imeeleza kuwa hayo yalibainika katika mahojiano baina ya watoto na askari wa dawati la jinsia.
Alisema watoto hao wanatoka mikoa mbalimbali ikiwamo Tanga, Mara, Kagera, Mbeya na Dodoma.
Kamanda Kamwela alisema pia wamegundua kuwa watoto walikuwa wakiishi kwenye mazingira magumu ikiwamo kulala chini katika chumba kidogo.
Alisema polisi linawashikilia watu wawili (mume na mke) ambao wanatuhumiwa kuwahifadhi watoto hao.
Kamanda huyo alisema watoto hao wana umri wa kwenda shule, lakini walikuwa hawasomi.
Alisema polisi wanachunguza aina ya masomo ya dini waliyokuwa wakifundishwa.
“Lazima tuchunguze uhalali wa masomo ya dini waliyokuwa wakisoma ili tujue kama kweli watoto hawa walipelekwa na wazazi wao au la, kwa kuwa watoto hao walipaswa kuwa shuleni” alisema Kamanda Kamwela.
Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Novatus Makunga alisema watoto hao walikuwa wakiishi kwenye mazingira magumu, huku wakipewa adhabu kali ikiwamo kubeba matofali mgongoni pindi wanapokosea.
“Maelezo ya watoto yanaonyesha walikuwa wakiteswa, adhabu hizi kwa watoto ni kubwa, bado tunawachunguza ili tujue kila kitu na walichukuliwaje huko majumbani kwao,” alisema Makunga.
Alisema kwa wazazi watakaowatambua watoto wao, wanapaswa kwenda na uthibitisho ikiwamo cheti cha kuzaliwa au uthibitisho mwingine utakaoonyesha ni mzazi halisi.


WATOTO 17 WAFICHWA NA KUPATIWA MAFUNZO YA KIISLAM KWA SIRI

Watoto wa Kiislam
Hali ya taharuki imetanda katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha baada ya kugundulika mahali walipofichwa watoto 17 wakiwamo watatu wa familia moja wanaodaiwa kupotea tangu mwezi Februari mwaka jana  kwa madai ya kufundishwa  maadili ya imani ya dini ya kiislamu. 
Umati mkubwa wa wakazi wa mji wa Moshi wamejitokeza katika kata ya Pasua mjini Moshi  kushuhudia tukio la watoto hao wenye umri wa  kuanzia miaka miwili hadi 13 ambao walikuwa wanaishi kwa Bw.Abdelnasir Abrahamani ambaye ni mfanyabiashara wa nguo nchini Kenya. 
Akizungumza katika eneo la tukio mkuu wa wilaya ya Moshi Bw.Novatus Makunga amesema tatizo hilo kwa mji wa Moshi ni kubwa na kwamba kwa sasa nyumba hiyo imefungwa na kuondolewa watoto hao ili warejeshwe kwa wazazi hao wakati hatua za kisheria zikiendelea. 
Mmoja wa wazazi mwenye watoto watatu waliopotea tangu mwezi February mwaka jana na kukutwa katika nyumba hiyo Bw.Ramadhani Mohamedi amesema aligundua tukio hilo baada ya kukutana na mtoto wake wa kike barabarani na kumweleza mateso wanayoyapata huko.
Naye mfanyabiashara huyo Bw.Abdulinasir Abrahamani amesema nyumba hiyo ni familia na ndugu zao wa kiislamu lakini siyo kituo cha yatima, ila ni sehemu ya kutolea mafundisho ya dini ya kiislamu.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE