Dangote kutengeneza Bandari Mtwara
Alhaji Dangote akisikiliza maelezo ya eneo husika

Mtwara

Wakazi wa kijiji cha Mgao, kata Naumbu katika halmashauri ya wilaya ya Mtwara, wametoa hekari 2,500 kwa mwekezaji wa kiwanda cha saruji cha Dangote, Alhaji Aliko Dangote ili ajenge bandari itakayotumika kusafirisha saruji kutoka kiwandani hapo kwenda maeneo mbalimbali ya ndani na nje ya nchi.

Mwenyekiti wa kijiji hicho, Abrahaman Shah alimweleza bilionea huyo namba moja Afrika kuwa, wakazi wa kijiji chake wameridhia kumpatia eneo kwa ajili ya ujenzi wa bandari na kwamba ni imani yao mradi huo utatekelezwa haraka iwezekanavyo.
dangote in tanzania
Mwenyekiti wa Kijiji cha Mgao, Abrahaman Shah akitoa maeleketo

“Sisi wakazi wa Mgao tumekupatia eneo la hekari 2,500 la nchi kavu na bahari ili ujenge bandari, pia tunawapatia ukazi wa kudumu katika kijiji chetu, wewe, balozi na balozi mdogo wa Nigeria hapa nchini, wote ninyi kuanzia sasa ni wakazi wa kijiji cha Mgao,” alisema Mwenyekiti huyo na kuongeza; “Kijiji chetu kina wakazi 2026, Alhaji Dangote atakuwa mkazi wa 2029, Balozi Isihaka Majabu atakuwa mkazi wa 2027 na balozi mdogo Salisu Umaru atakuwa mkazi wa 2028…hawa ni wakazi wenzetu wa kijiji cha Mgao,” alisema.

Picha za Dangote akiwa Mtwara


Alhaji Dangote akiwasili
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Bi Halima Dendegu,
akiwa na mwakilishi wa Dangote, Esther Baruti
Msafara
Msafara
dangote in tanzania
Alhaji Dangote akizungumza na wahandishi wa habari
dangote in tanzania
Ndege iliyomleta ikiondoka
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • HONGERA JAKAYA KIKWETE KWA KUTIMIZA MIAKA 65
    Tarehe kama ya Leo miaka 65 iliyopita Raisi wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndugu,…
  • MRI EQUIPMENT REPAIRED AT MUHIMBILI AFTER MAGUFULI VISIT
    Muhimbili National Hospital (File Photo) Muhimbili National Hospital (MNH) has announced that…
  • DANGOTE KUJENGA BANDARI YAKE MTWARA
    Alhaji Dangote akisikiliza maelezo ya eneo husika Mtwara Wakazi wa kijiji cha Mgao, kata Naumbu…
  • JESHI LA POLISI: TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI
    TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI Jeshi la Polisi Tanzania linawaita kwenye usaili wahitimu…
  • 1ST WOMAN IN POLITICAL PART'S PRESIDENTIAL NOMINEE IN AMERICA
    On Tuesday, Hillary Clinton won Democratic primary in California, the Associated Press reported early…
  • How Cellphone can damage your sexual organs, pregnant women and Children?
    Are you keeping your phone in your pocket? …
  • Nick Cannon files a Divorce from Mariah Carey
    Let's hope Mariah Carey has mastered the art of letting go. According to a new report…
  • WATU MAARUFU WALIO BET KWA MAYWEATHER KUSHINDA
    P DIDDY Floyd Mayweather ndie mtu aliyepata pesa nyingi baada ya pambano akifuatiwa na Manny Pacquiao,…
  • VITAMBULISHO VYA UZANZIBARI VYAZUA BALAA
    Zanzibar VITAMBULISHO VYA UZANZIBARI VYAZUA BALAA Vyama vya upinzani Zanzibar, vimeshauri Sheria ya…
  • **EGYPTAIR FLIGHT DISAPPEARED WITH 66 PEOPLE ON BOARD
    EgyptAir flight has disappeared off the northern coast of Egypt with 66 people on board. Egypt's armed…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE