Dangote kutengeneza Bandari Mtwara
Alhaji Dangote akisikiliza maelezo ya eneo husika

Mtwara

Wakazi wa kijiji cha Mgao, kata Naumbu katika halmashauri ya wilaya ya Mtwara, wametoa hekari 2,500 kwa mwekezaji wa kiwanda cha saruji cha Dangote, Alhaji Aliko Dangote ili ajenge bandari itakayotumika kusafirisha saruji kutoka kiwandani hapo kwenda maeneo mbalimbali ya ndani na nje ya nchi.

Mwenyekiti wa kijiji hicho, Abrahaman Shah alimweleza bilionea huyo namba moja Afrika kuwa, wakazi wa kijiji chake wameridhia kumpatia eneo kwa ajili ya ujenzi wa bandari na kwamba ni imani yao mradi huo utatekelezwa haraka iwezekanavyo.
dangote in tanzania
Mwenyekiti wa Kijiji cha Mgao, Abrahaman Shah akitoa maeleketo

“Sisi wakazi wa Mgao tumekupatia eneo la hekari 2,500 la nchi kavu na bahari ili ujenge bandari, pia tunawapatia ukazi wa kudumu katika kijiji chetu, wewe, balozi na balozi mdogo wa Nigeria hapa nchini, wote ninyi kuanzia sasa ni wakazi wa kijiji cha Mgao,” alisema Mwenyekiti huyo na kuongeza; “Kijiji chetu kina wakazi 2026, Alhaji Dangote atakuwa mkazi wa 2029, Balozi Isihaka Majabu atakuwa mkazi wa 2027 na balozi mdogo Salisu Umaru atakuwa mkazi wa 2028…hawa ni wakazi wenzetu wa kijiji cha Mgao,” alisema.

Picha za Dangote akiwa Mtwara


Alhaji Dangote akiwasili
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Bi Halima Dendegu,
akiwa na mwakilishi wa Dangote, Esther Baruti
Msafara
Msafara
dangote in tanzania
Alhaji Dangote akizungumza na wahandishi wa habari
dangote in tanzania
Ndege iliyomleta ikiondoka
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • TANZANIA YAFUZU KUCHEZA KOMBE LA DUNIA
    Baada ya kufungwa na Kenya, timu ya Tanzania imeibuka na kuifunga Nigeria kwa wiketi tatu katika mwendelezo…
  • JAMES LEMBELI AONDOKA CCM
    James Lembeli James Lembeli, Mbunge wa Kahama aliyemaliza muda wake amekataa kubadili msimamo wake wa…
  • * TANZANIA BANS THE USE OF PUBLIC FUNDS ON CHRISTMAS AND NEW YEAR CARDS
    The government of Tanzania yesterday banned printing and distributing festive season cards ahead of this…
  • GOODLUCK JONATHAN TO RECONCILE IN ZANZIBAR POLL STALEMATE
    Zanzibar. The Commonwealth has appointed former President Goodluck Jonathan to lead the charge for the…
  • KWA NINI HIZI SHULE ZIMEPEWA HAYA MAJINA?
    SHULE YA MSINGI MADUDU SHULE YA MSINGI KITOBO SHULE YA MSINGI MKUNWA SHULE YA MSINGI…
  • ACACIA TAX FEUD: EXECUTIVE CHAIRMAN MET WITH TANZANIA PRESIDENT
    Tanzania’s President met with Barrick Gold Corp. Executive Chairman John Thornton in an effort to…
  • MAJIMBO MAPYA 26 YA UCHAGUZI
    TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MAJIMBO MAPYA 26 YA UCHAGUZI BAADA YA KUGAWANYWA
  • * ZEC YAFUTA MATOKEO YA UCHAGUZI ZANZIBAR
    Zanzibar: Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wa Zanzibar – ZEC kwa mamlaka ya Kikatiba aliyopewa,…
  • Floyd Mayweather vs Manny Pacquiao
    Pambano la masumbwi linalosubiriwa na ulimwengu mzima kati ya mabondia wawili bora katika miaka ya hivi…
  • PICTURE OF THE DAY.
    Our picture of the day 10/06/2016 is coming from France at the Stade de France. In Euro 2016, when…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE