Mvua ya Mawe


Watu wasiopungua 30 wamepoteza maisha na wengine wasiopungu 80 kujeruhiwa baada ya mvua ya upepo mkali kusababisha mafuriko katika kata ya mwakata wilayani Kahama mkoani Shinyanga.

Mvua hiyo ambayo ilinyesha kwa muda mfupi imewaacha watu 3,500  bila makazi katika kaya 350 huku nyumba zikifurika maji na baadhi ya mifugo ikisombwa.
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Bw. Ali Nasoro Rufunga amesema mvua hiyo ya mawe iliyoambatana na upepo mkali ilisababisha mafuruko katika kata ya Mwakata kuezua nyumba na nyingine kuanguka.

Maafisa wa polisi wanasema kuwa mvua kubwa na upepo mkali ziliharibu nyumba na kufunga barabara karibu na mji wa Shinyanga na hivyobasi kuzuia oparesheni za kuwanusuru watu.
Waandishi wanasema kuwa mimea imeharibiwa na mifugo kuuawa.
Hali ya majeruhi ambao wamepelekwa katika hospitali mbalimbali bado sio nzuri kwa baadhi ingawa wengine wanaendelea vizuri.

Habari Duniani tunatoa Pole waathirika woote.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • BUTIKU: CHAMA CHANGU (CCM) MAGWIJI WA KUVUNJA TARATIBU (KATIBA)
    Joseph Butiku,Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Joseph Butiku,Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu…
  • HOW MANCHESTER CITY IS ARSENAL B?
    "It is tiring to lose players-whether it be to Man Ciy or somewherr else-it is the same", the Arsenal…
  • USA TO REMOVE BURUNDI FROM U.S TRADE PREFERENCE
    President Nkurunziza was re-elected in July in an election boycotted by the opposition. The United States…
  • RUTO CAMPAIGNING FOR MUSEVENI
    Uganda: William Ruto addressing media with Museveni today morning at Kapchorwa State Lodge, he claimed…
  • 13 DEAD ON LAKE VICTORIA, POLICE SEAL OFF BEACHES
    Police spokesperson, Fred Enanga, said the beaches where bodies washed up are being treated as…
  • WAS OBAMA OR ZUMA RIGHT?
    During the 70th session of the United Nations General Assembly at United Nations headquarters in New York,…
  • MILITARY PLANE TO EVACUATE OBAMA IN CASE OF EMERGENCY
    President Obama will be on Sunday to give a lecture to Members of Parliament as well as women, youth and…
  • PLANE CARRYING 58 PASSENGERS CRASH
    A Taiwanese passenger aircraft with 58 people on board has crashed into a river outside Taiwan’s capital…
  • MAGAZETI YA LEO
    Kama kawaida Habari Duniani inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia…
  • 3 PATIENTS IN HOSPITAL WITH ZIKA IN UK
    Three Brits have been diagnosed with the Zika virus after returning from overseas. The cases at Calderdale…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE