Mvua ya Mawe


Watu wasiopungua 30 wamepoteza maisha na wengine wasiopungu 80 kujeruhiwa baada ya mvua ya upepo mkali kusababisha mafuriko katika kata ya mwakata wilayani Kahama mkoani Shinyanga.

Mvua hiyo ambayo ilinyesha kwa muda mfupi imewaacha watu 3,500  bila makazi katika kaya 350 huku nyumba zikifurika maji na baadhi ya mifugo ikisombwa.
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Bw. Ali Nasoro Rufunga amesema mvua hiyo ya mawe iliyoambatana na upepo mkali ilisababisha mafuruko katika kata ya Mwakata kuezua nyumba na nyingine kuanguka.

Maafisa wa polisi wanasema kuwa mvua kubwa na upepo mkali ziliharibu nyumba na kufunga barabara karibu na mji wa Shinyanga na hivyobasi kuzuia oparesheni za kuwanusuru watu.
Waandishi wanasema kuwa mimea imeharibiwa na mifugo kuuawa.
Hali ya majeruhi ambao wamepelekwa katika hospitali mbalimbali bado sio nzuri kwa baadhi ingawa wengine wanaendelea vizuri.

Habari Duniani tunatoa Pole waathirika woote.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • WHY MOBIUS SEEKS NEW MONEY FOR MASS VEHICLE PRODUCTION?
    MOBIUS VEHICLE MANUFACTURE IN KENYA An investor at Mobius says it will sell equity stakes to a number of…
  • FREE COMPUTERS,TEXBOOKS,MATH SETS,PADS TO PUPILS - MUSEVENI
    ALEBTONG- Speaking at a campaign rally at Alira Primary School in Akura Sub–county, Alebtong…
  • Maandamano ya Kigoma yampa Ujumbe huu Dk.Slaa wa CHADEMA
    Ujumbe wa Dk.Slaa kutoka Kigoma …
  • GOOGLE SALUTES TANZANIA INDEPENDENCE DAY
    GOOGLE has saluted Tanzanians on the Independence celebration by removing one O and put the nation…
  • 1.09 BILLION COLLECTED IN DAR ES SALAAM AS FINE FOR TRAFFIC OFFENCES IN 3 WEEKS
    The Special Zone Police Commander, Commissioner of Police (CP) Simon Sirro, addressing reporters in the…
  • 20 BOKO HARAM LEADERS ARRESTED
    The DSS – Department of State Service’s has arrested 20 suspected leaders of the sect across the…
  • ALIYEFUNGWA MIAKA 40 BILA KUONANA NA MTU AACHIWA HURU
    Albert Woodfox sasa yuko huru baada ya kuzuiliwa upweke miaka 40 jela Jaji mmoja katika jimbo la…
  • 3 WAYS TO AVOID WHATSAPP FEE OR TRIAL PERIOD
    Are you the power user of WhatsApp? Before getting started, let me clear that we all know and use…
  • Best European players and World Cup winner who will be missing in AFCON
    Jerome Boateng -Ghana, David Alaba - Nigeria and Kelvin Boateng - Ghana France National squad several…
  • OBAMA IN KENYA, RUTO NO SHOW UP
    Obama landing in Kenya Obama in Kenya Ruto no show up The US president was received by President Uhuru…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE