Mvua ya Mawe


Watu wasiopungua 30 wamepoteza maisha na wengine wasiopungu 80 kujeruhiwa baada ya mvua ya upepo mkali kusababisha mafuriko katika kata ya mwakata wilayani Kahama mkoani Shinyanga.

Mvua hiyo ambayo ilinyesha kwa muda mfupi imewaacha watu 3,500  bila makazi katika kaya 350 huku nyumba zikifurika maji na baadhi ya mifugo ikisombwa.
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Bw. Ali Nasoro Rufunga amesema mvua hiyo ya mawe iliyoambatana na upepo mkali ilisababisha mafuruko katika kata ya Mwakata kuezua nyumba na nyingine kuanguka.

Maafisa wa polisi wanasema kuwa mvua kubwa na upepo mkali ziliharibu nyumba na kufunga barabara karibu na mji wa Shinyanga na hivyobasi kuzuia oparesheni za kuwanusuru watu.
Waandishi wanasema kuwa mimea imeharibiwa na mifugo kuuawa.
Hali ya majeruhi ambao wamepelekwa katika hospitali mbalimbali bado sio nzuri kwa baadhi ingawa wengine wanaendelea vizuri.

Habari Duniani tunatoa Pole waathirika woote.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • 1st MAGUFULI'S CABINET RESHUFFLE
    Mwigulu Nchemba (MP) and Dr. Charles John Tizeba (MP) have been appointed by President John Magufuli of The…
  • KURA YA MAONI YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA YAHAIRISHWA
    KURA YA MAONI YA KATIBA YAHAIRISHWA Tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC) imesema kuwa kura ya maoni ya…
  • MADUDU RIPOTI YA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI
    RIPOTI ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), imeibua ufisadi mkubwa katika mamlaka za…
  • WE WON WITH POORLY EDUCATED - DONALD TRUMP
    Donald Trump sweeps to victory in Nevada Republican caucuses on Tuesday, finished more than 20 points…
  • KATIBA INAYOPENDEKEZWA IMEFUTA MAMBO MUHIMU 70 - POLEPOLE ACHAMBUA
  • NAFASI ZA KAZI BENKI KUU YA TANZANIA
    EMPLOYMENT OPPORTUNITY AT BANK OF TANZANIA The bank of Tanzania, an equal opportunity employer and…
  • NATIONAL BANK OF COMMERCE VACANCIES - 2015
    NATIONAL BANK OF COMMERCE VACANCIES - 2015 This is your chance to belong to a world-class…
  • HAKI ZAKO UWAPO MIKONONI MWA POLISI.
    UWAPO MIKONONI MWA POLISI FANYA HAYA   1. Askari akikuweka chini ya ulinzi muulize…
  • MUTHAURA APPOINTED AS KENYA'S CAPITAL MARKETS AUTHORITY CHIEF EXECUTIVE
    Kenya. Paul Muthaura has been appointed the Kenya's Capital Markets Authority (CMA) chief executive, nearly…
  • 4 U MOVEMENT (TEAM LOWASSA) WAJIUNGA CHADEMA
    Vijana wanao aminika kua ni wafuasi wa Lowassa wahamia CHADEMA.

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE