Papa
Vatican. Baba Mtakatifu Papa Francis ameomba radhi wakati anaongoza mkutano wa wiki tatu wa baraza la makardinali na maaskofu kujadili namna ya kupitia mafundisho ya kanisa hilo pamoja na kuhusu masuala ya familia.
Papa Francis ameuomba msamaha huo alipokuwa akiwahubiria maelfu ya watu waliokusanyika kwenye Uwanja wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Peter, mjini Vatican, katika utaratibu wake wa kila juma.

''Kabla ya kuanza kwa Katekesi, nataka kwa niaba ya Kanisa, kuomba msamaha kwa kashfa ambazo hivi karibuni zimeikumba Roma na Vatican. Naomba msamaha wenu,'' alisema Papa Francis.
Msamaha huo ameuomba katika kipindi ambacho Kanisa Katoliki limejikuta kwenye kashfa kadhaa, ikiwemo ile ya kujitokeza hadharani kwa Padri shoga anayepinga msimamo wa kanisa kuhusu mapenzi ya jinsia moja na kauli dhidi ya Meya wa Roma, aliyejiuzulu wiki iliyopita.

Hata hivyo, Papa hakutaja hasa aina ya kashfa anayoizungumzia wala kutoa mifano. Siku moja kabla ya kuanza kwa mkutano huo kuhusu masuala ya familia, padri wa Poland alitangaza hadharani kuwa yeye ni shoga, huku mpenzi wake akiwa pembeni yake. Padri huyo aliyefanya kazi yake Vatican kwa miaka 17, alifukuzwa kazi yake ya ukasisi.
Krzysztof Charamsa, Polish Priest gay.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • ALEXIS TSIPRAS WAZIRI MKUU WA UGIRIKI AJIUZURU
    UGIRIKI Waziri Mkuu wa Ukigiki (Alexis Tsipras) siku ya Alhamisi ametangaza kujiuzuru na…
  • 3,000 Pupils share single Latrine, 250 make 1 Class.
    Teacher delivers a lesson GEITA. Students and staff at Ukombozi and Nyankumbu primary schools in Geita…
  • WE WON WITH POORLY EDUCATED - DONALD TRUMP
    Donald Trump sweeps to victory in Nevada Republican caucuses on Tuesday, finished more than 20 points…
  • BELGIUM ON HIGH TERRORISM ALERT
    Belgium is on high alert after a major anti-terror raid in which two suspected Islamist militants were…
  • ALIYEFUNGWA MIAKA 40 BILA KUONANA NA MTU AACHIWA HURU
    Albert Woodfox sasa yuko huru baada ya kuzuiliwa upweke miaka 40 jela Jaji mmoja katika jimbo la…
  • BASI LINGINE LAUA WATU 10
    Basi jingine lapata ajali Habari zilizotufikia ni kuwa basi lenye namba za usajili T148 BKK likitokea…
  • How Cellphone can damage your sexual organs, pregnant women and Children?
    Are you keeping your phone in your pocket? …
  • MARIJUANA WORTH TSH 30 MILLION BURNT
    Nebuye village, Ukerewe. On Thursday members of the District Defense and Security Committee uprooted and…
  • UK NEWS PAPERS
    Habari Duniani Media Limited brings UK News Paper in your finger tips. Read Today Uk News Papers…
  • GOODLUCK JONATHAN TO RECONCILE IN ZANZIBAR POLL STALEMATE
    Zanzibar. The Commonwealth has appointed former President Goodluck Jonathan to lead the charge for the…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE