MAJIMBO MAPYA YA UKAWA (CUF, CHADEMA, NLD NA NCCR-MAGEUZI)

James Mbatia ashinda Ubunge Vunjo

James Mbatia, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi ameibuka mshindi baada ya kumshinda mwanasiasa mkongwe Augustine Mrema wa Tanzania Labour Party (TLP).
James Mbatia amabye alikua akiwakilisha UKAWA alipata kura 60,187 wakti mpinzani wake wa karibu Innocent Shirima wa CCM alipata kura 16,617 na Augustine Mrema alipata kura 6,416.
Hii ni mara ya pili kwa Mbatia kua Mbunge wa Vunjo. Mara ya kwanza ni 1995 wakati mfumo wa vyama vingi ulipoanzishwa.

Wilfred Lwakatare (CHADEMA) ashinda Ubunge Bukoba Mjini

Jimbo la Bukoba mjini lililokua chini ya CCM chini ya Khamis Kagasheki limechukuliwa na Wilfred Lwakatare wa CHADEMA. Lwakatare alipata kura 28,112 na Kagasheki kura 25,565.

Michael Jaffar (CHADEMA) ashinda Ubunge Moshi mjini

Jaffar amemshinda mpinzani wake wa karibu David Mosha wa CCM na kutangazwa mshindi. Jaffar alipata kura 51,646 wakati Mosha alipata kura 26,920.


Joseph Haule (CHADEMA) ashinda Ubunge Mikumi

Haule aka Profesa J, ambaye ni mwanamziki amepata kura 32,256 na mpinzani wake wa CCM Jones Nkya amepata kura 30,425.

Joseph Haule amekua mwanamziki wa pili kua Mbunge baada ya Joseph Mbilinyi “SUGU”.

Abdallah Mtolea (CUF) ashinda Ubunge Temeke

Abdallah Mtolea amefanikiwa kumshinda Abbas Mtemvu (CCM). Mtolea amepata kula 103,231 dhidi ya kura 97,555.
Jimbo la Temeke hii ni mara ya pili kuchukuliwa na upinzani, mwaka 1995-2000 ilichukuliwa na Augustine Mrema alishinda kupitia NCCR-Mageuzi.

Maulid Mtulia (CUF) ameshinda Ubunge jimbo la Kinondoni

Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maulid Mtulia ametangazwa mshindi wa nafasi hiyo katika jimbo la Kinondoni, akimshinda mgombea wa CCM, Idd Azzan.
Akitangaza matokeo hayo usiku wa kuamkia leo, msimamizi wa uchaguzi katika jimbo hilo ambaye pia ni mkurugenzi wa manispaa ya Kinondoni, Mussa Natty amesema, Mtulia amepata kura 70, 337 huku Azzan aliyekuwa anatetea kiti chake akipata 65,964.

Itaendelea www.habariduniani.com
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • RUSSIAN PASSENGERS PLANE 7K9268 HAS CRASHED IN SINAI - EGYPT CONFIRMED
    Russian passengers plane 7K9268 has crashed in Sinai. A Russian plane carrying more than 200 people has…
  • MORSI JELA MIAKA 20 MISRI
    Raisi wa Zamani wa Misri, Mohammed Morsi Misri. Makahama nchini Misri imemhukumu aliyekuwa rais wa…
  • 5 BORA YA CCM URAISI 2015
    CCM imeyatangaza majina matano yaliyopitishwa na Kamati ya CCM (CC) MAJINA MATANO 1. Bernard Membe 2.…
  • GOOGLE SALUTES TANZANIA INDEPENDENCE DAY
    GOOGLE has saluted Tanzanians on the Independence celebration by removing one O and put the nation…
  • WHATSAPP, iMESSAGE AND SNAPCHAT COULD BE BANNED
    WhatsApp iMessage Snapchat …
  • MUTHAURA APPOINTED AS KENYA'S CAPITAL MARKETS AUTHORITY CHIEF EXECUTIVE
    Kenya. Paul Muthaura has been appointed the Kenya's Capital Markets Authority (CMA) chief executive, nearly…
  • 1ST NUCLEAR POWER PLANT IN EAST AFRICA
    Sudan will be the first nuclear power plant in East Africa. A Chinese state-owned company has signed a…
  • AJIRA KWA WATANZANIA KATIKA SHIRIKA LA NDEGE LA EMIRATES KWA 2015
    UTANGULIZI Tarehe 22 Januari, 2015 kuanzia saa tano hadi sita mchana, Wizara inatarajia kuongea na…
  • 6+ confirmed dead in Grenfell Tower Fire
    London. At least six people have been confirmed killed in a huge fire that ripped through a west London…
  • BASI LINGINE LAUA WATU 10
    Basi jingine lapata ajali Habari zilizotufikia ni kuwa basi lenye namba za usajili T148 BKK likitokea…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE