floyd mayweather
Floyd Mayweather
Bondia maarufu duniani kwa sasa Floyd Mayweather baada ya kumpiga Emmanuel "Manny" Pacquiao ameanza ziara mbalimbali.

MAYWEATHER ATUA DAR ES SALAAM

Wananchi wa Jangwani

MAYWEATHER AITEMBELEA CLUB YA YANGA



MAYWEATHER ALIPOTEMBELEA SINZA, DAR ES SALAAM

SINZA MVUA
SINZA
SINZA
Maji yaliyosimama maeneo ya Jangwani
Gari ilikutwa imezama
Dereva akutwa amezama na gari

UFAFANUZI:

Neno Mayweather limetokana na maongezi yafuatayo:

Mtoto: Baba mvua mbona haziishi
Baba: Ndo msimu wake huu.
Mtoto: Kwa hiyo Baba, kwa Kingereza hii hali ya hewa inaitwaje?
Baba: Inaitwa MAYWEATHER.

HABARI DUNIANI INAWAPA POLE WAATHIRIKA WOTE WA MVUA HIZI.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO YAANZA RASMI TANZANIA
    Waziri wa Mawasilaiano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa(Mb), akiongea na waandishi wa…
  • DANGOTE KUJENGA BANDARI YAKE MTWARA
    Alhaji Dangote akisikiliza maelezo ya eneo husika Mtwara Wakazi wa kijiji cha Mgao, kata Naumbu…
  • Mafuriko Yaua watu zaidi ya 30 Tanzania.
    Mvua ya Mawe Watu wasiopungua 30 wamepoteza maisha na wengine wasiopungu 80 kujeruhiwa baada ya mvua…
  • 90 years old woman found in school studying.
    Akiwa na umri wa miaka 90 mwanamke wa Kenya ambaye anahudhuria masomo akiwa na wajukuu zake wapatao sita…
  • 1 DECEMBER 2015 WORLD AIDS DAY EXHIBITION CANCELLED IN TANZANIA
    President of United Republic of Tanzania Dr. John Magufuli cancelled the climax of HIV and AIDS…
  • KETER - NATIONAL ASSEMBLY SPEAKER BLOCKS WAIGURU IMPEACHMENT MOTION
    Nandi Hills MP Alfred Keter Alfred Keter Nandi Hills MP has now accused National Assembly Speaker Justin…
  • Why People Don't Buy Life Insurance?
    1. It's sold by insurance agents: Let's be honest, most people that sell insurance aren't looked at…
  • * OFFICIAL COMPLAINTS CONCERNING 2015 ELECTIONS FROM LOWASSA
    My fellow citizens! Today on 29 October 2015, through my co-candidate, Hon. Juma Duni Haji have filed…
  • HOW TO CHOOSE INSURANCE COMPANY IN TANZANIA?
    Tanzania now days have many insurance companies. There are insurance industry giants with many of policies…
  • HONGERA JAKAYA KIKWETE KWA KUTIMIZA MIAKA 65
    Tarehe kama ya Leo miaka 65 iliyopita Raisi wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndugu,…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE