egypty president
Raisi wa Zamani wa Misri, Mohammed Morsi
Misri.
Makahama nchini Misri imemhukumu aliyekuwa rais wa zamani Mohammed Morsi kifungo cha miaka 20 jela kutokana na kuuawa kwa waamdamanaji wakati akiwa madarakani.
Hii nidyo hukumu ya kwanza kutolewa kwa Morsi tangu aondolewe madarakani, na moja ya hukumu zinazomuandama.

Morsi aliondolewa madarakani na jeshi mwaka 2013 kufuatia maandamano makubwa mitaani ya kupinga uongozi wake.
Yeye pamoja na viongozi wengine wa Muslim Brotherhood walilaumiwa kwa kuwachochea wafuasi wao kumuua mwandishi wa habari na waandamanaji wa upinzani wakati wa makabiliano nje ya ikulu ya rais mwishoni mwa mwaka 2012.
Wakati umati ulipokusanyika nje ya ikulu bwana Morsi aliwaamrisha polisi kuwatawanya lakini wakakataa kufanya hivyo.

Muslim Brotherhood

Baadaye Muslim Brotherhood waliwaleta wafuasi wao ambapo watu 11 waliuawa kwenye makabiliano, wengi kutoka kwa Muslim Brotherhood.
Kabla ya kutolewa hukumu ya leo, Muslim Brotherhood walimlaumu rais wa sasa Abdul Fatta al-Sisi kwa kutumia mahakama kama silaha.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • KAULI YA PENGO DHIDI YA GWAJIMA
    ASKOFU PENGO 'Kuna mtu mmoja,ambaye hata jina lake silikumbuki,ameinuka na kunena maneno juu yangu,ambayo…
  • HOLY FATHER POPE FRANCIS FALLS DOWN. IS HE OK?
    Poland: Pope Francis missed a step and fell to the ground Thursday as he walked on an open-air platform to…
  • KETER - NATIONAL ASSEMBLY SPEAKER BLOCKS WAIGURU IMPEACHMENT MOTION
    Nandi Hills MP Alfred Keter Alfred Keter Nandi Hills MP has now accused National Assembly Speaker Justin…
  • How will the Premier League Table be Decided if Two teams Finish Tied at the Top of the Table?
    The pair are not only level on points, but on goals scored, goals conceded, wins, draws and…
  • JAMES LEMBELI AONDOKA CCM
    James Lembeli James Lembeli, Mbunge wa Kahama aliyemaliza muda wake amekataa kubadili msimamo wake wa…
  • Amazing Vehicles manufactured in Tanzania, East Afrika - Nyumbu
    Nyumbu A number of African countries chose  institutions of higher learning like universities to…
  • Arsenal: Coquelin is my Insurance - Ramsey
    Aaron Ramsey says Francis Coquelin's presence in midfield has given him more license to go…
  • VITAMBULISHO VYA UZANZIBARI VYAZUA BALAA
    Zanzibar VITAMBULISHO VYA UZANZIBARI VYAZUA BALAA Vyama vya upinzani Zanzibar, vimeshauri Sheria ya…
  • .MZEE ALIYECHORA NEMBO YA TAIFA AFARIKI DUNIA
    Mzee Francis Maige Kanyasi alipolazwa Hospitali. Dar es Salaam, Muhimbili. Hospitali ya Taifa ya…
  • HOW MANCHESTER CITY IS ARSENAL B?
    "It is tiring to lose players-whether it be to Man Ciy or somewherr else-it is the same", the Arsenal…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE