egypty president
Raisi wa Zamani wa Misri, Mohammed Morsi
Misri.
Makahama nchini Misri imemhukumu aliyekuwa rais wa zamani Mohammed Morsi kifungo cha miaka 20 jela kutokana na kuuawa kwa waamdamanaji wakati akiwa madarakani.
Hii nidyo hukumu ya kwanza kutolewa kwa Morsi tangu aondolewe madarakani, na moja ya hukumu zinazomuandama.

Morsi aliondolewa madarakani na jeshi mwaka 2013 kufuatia maandamano makubwa mitaani ya kupinga uongozi wake.
Yeye pamoja na viongozi wengine wa Muslim Brotherhood walilaumiwa kwa kuwachochea wafuasi wao kumuua mwandishi wa habari na waandamanaji wa upinzani wakati wa makabiliano nje ya ikulu ya rais mwishoni mwa mwaka 2012.
Wakati umati ulipokusanyika nje ya ikulu bwana Morsi aliwaamrisha polisi kuwatawanya lakini wakakataa kufanya hivyo.

Muslim Brotherhood

Baadaye Muslim Brotherhood waliwaleta wafuasi wao ambapo watu 11 waliuawa kwenye makabiliano, wengi kutoka kwa Muslim Brotherhood.
Kabla ya kutolewa hukumu ya leo, Muslim Brotherhood walimlaumu rais wa sasa Abdul Fatta al-Sisi kwa kutumia mahakama kama silaha.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • GOODLUCK JONATHAN TO RECONCILE IN ZANZIBAR POLL STALEMATE
    Zanzibar. The Commonwealth has appointed former President Goodluck Jonathan to lead the charge for the…
  • ZITTO BADO NI MBUNGE WA CHADEMA - OFISI YA BUNGE
    ZITTO KABWE Ofisi ya Bunge imesema haijapata barua yoyote kuhusu kuvuliwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma…
  • MRI EQUIPMENT REPAIRED AT MUHIMBILI AFTER MAGUFULI VISIT
    Muhimbili National Hospital (File Photo) Muhimbili National Hospital (MNH) has announced that…
  • WATOTO WAFICHWA NA KUPATIWA MAFUNZO YA KIISLAM KWA SIRI
  • MUSWADA WA AJIRA WAPITISHWA BUNGENI, TANZANIA
    Bunge la Tanzania Bunge la Tanzania limepitisha muswada wa sheria ya udhibiti wa ajira za wageni wa mwaka…
  • GLOBAL ENTREPRENEURSHIP SUMMIT IN NAIROBI, KENYA 2015
    WHAT IS GLOBAL ENTREPRENEURSHIP SUMMIT IN NAIROBI 2015? The Global Entrepreneurship Summit (GES) Youth…
  • $ 92 ML CREDIT FROM INDIA TO IMPROVE WATER ACCESSIBILITY IN ZANZIBAR
    Dar es Salaam, Tanzania. Indian Prime Minister Narendra Modi and Tanzanian …
  • UK NEWS PAPERS
    Habari Duniani Media Limited brings UK News Paper in your finger tips. Read Today Uk News Papers…
  • 20 BOKO HARAM KILLED BY NIGER SOLDIERS
    At least 20 members of the Islamist militia Boko Haram group were killed on Wednesday in Southern Niger by…
  • How Cellphone can damage your sexual organs, pregnant women and Children?
    Are you keeping your phone in your pocket? …

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE