shinyanga
Basi jingine lapata ajali
Habari zilizotufikia ni kuwa basi lenye namba za usajili T148 BKK likitokea jijini Mwanza kwenda Tabora liligongana na lori katika kijiji cha Ibingo kata ya Samuye Shinyanga. 
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Shinyanga, RTO Chacha Marwa alibainisha kuwa, watu 10  wamepoteza maisha huku 51, wakijeruhiwa vibaya na kuendelea kukimbizwa hospitali.

ajali shinyanga

Basi lagongana na Lori na kuua

“Hadi sasa ni watu 10 wamepoteza maisha. Na tunaendelea kuokoa wengine ambao 51 ni majeruhi. hivyo bado tupo hapa kwa sasa na taarifa zaidi tutaendelea kuzitoa”
Hadi sasa majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga.



Mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi Amen, na Mwenyezi Mungu awajaalie nafuu ya haraka majeruhi wote.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • UKAWA: WAMTAMBULISHA MGOMBEA URAISI MWANZA
    Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA, wamepokelewa kwa kishindo jijini Mwanza ikielezwa kuwa…
  • YOUNGEST BILLIONAIRE IN AFRICA COME FROM TANZANIA
    Mohammed Dewji TAJIRI KIJANA KULIKO WOTE AFRIKA Mohammed Dewji has seen his net worth rise…
  • HOLY FATHER POPE FRANCIS FALLS DOWN. IS HE OK?
    Poland: Pope Francis missed a step and fell to the ground Thursday as he walked on an open-air platform to…
  • Xavi persuading signing of Santi Cazorla and Silva to Barcelona
    Xavi has hailed the talents of David Silva and Santi Cazorla, admitting he would love to…
  • 3 DAYS STATE VISIT TO ISRAEL - UHURU
    President Uhuru Kenyatta is seen off by Deputy President William Ruto President Uhuru Kenyatta left for…
  • ESTER BULAYA KUTOGOMBEA KUPITIA CCM VITA NI YAKE NA WASSIRA BUNDA MJINI
    Aliyekua Mbunge wa Viti Maalu, Ester Bulaya ametangaza kutokugombea Ubunge kupitia CCM. Jimbo la Bunda…
  • _ POPE TO VISIT KENYA, UGANDA AND CENTRAL AFRICAN REPUBLIC IN NOVEMBER
    Kenyas Catholic looks forward to Pope Francis’ first visit from November 25 to 27. On Sunday they will begin…
  •   253 MAJIMBO UKAWA WAMEGAWANA, TABORA MJINI GUMZO NA MENGINE 11
      Majimbo hayo yalitangazwa na wawakilishi wa makatibu wakuu wa UKAWA, John Mnyika (Chadema),…
  • ALEXIS TSIPRAS WAZIRI MKUU WA UGIRIKI AJIUZURU
    UGIRIKI Waziri Mkuu wa Ukigiki (Alexis Tsipras) siku ya Alhamisi ametangaza kujiuzuru na…
  • Why, Your Supposed to do this Business? Celebrities and Ordinary people
    This is the business fit everyone either you are celebrity or ordinary person. Celebrities refers to…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE