shinyanga
Basi jingine lapata ajali
Habari zilizotufikia ni kuwa basi lenye namba za usajili T148 BKK likitokea jijini Mwanza kwenda Tabora liligongana na lori katika kijiji cha Ibingo kata ya Samuye Shinyanga. 
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Shinyanga, RTO Chacha Marwa alibainisha kuwa, watu 10  wamepoteza maisha huku 51, wakijeruhiwa vibaya na kuendelea kukimbizwa hospitali.

ajali shinyanga

Basi lagongana na Lori na kuua

“Hadi sasa ni watu 10 wamepoteza maisha. Na tunaendelea kuokoa wengine ambao 51 ni majeruhi. hivyo bado tupo hapa kwa sasa na taarifa zaidi tutaendelea kuzitoa”
Hadi sasa majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga.



Mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi Amen, na Mwenyezi Mungu awajaalie nafuu ya haraka majeruhi wote.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • KCPE AND UACE EXAMS KICK OFF IN KENYA AND UGANDA
    Kenya. A total of 937,467 candidates are set to start the Kenya Certificate of Primary Education examination…
  • Best European players and World Cup winner who will be missing in AFCON
    Jerome Boateng -Ghana, David Alaba - Nigeria and Kelvin Boateng - Ghana France National squad several…
  • USA TO REMOVE BURUNDI FROM U.S TRADE PREFERENCE
    President Nkurunziza was re-elected in July in an election boycotted by the opposition. The United States…
  • 6+ confirmed dead in Grenfell Tower Fire
    London. At least six people have been confirmed killed in a huge fire that ripped through a west London…
  • URAISI 2015: KUA NA MIDAHARO YA WAGOMBEA URAISI
    Dar es Salaam. Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa) na ITV/ Radio One wamesaini…
  • BUTIKU: CHAMA CHANGU (CCM) MAGWIJI WA KUVUNJA TARATIBU (KATIBA)
    Joseph Butiku,Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Joseph Butiku,Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu…
  • 999TSH MIL TO FREE EDUCATION IN MWANZA SCHOOLS - GOVT
    Mwanza. The Treasury has disbursed Tsh.999 million to finance free education in both primary and secondary…
  • KCPE AND UACE EXAMS KICK OFF IN KENYA AND UGANDA
    Kenya. A total of 937,467 candidates are set to start the Kenya Certificate of Primary Education examination…
  • $ 92 ML CREDIT FROM INDIA TO IMPROVE WATER ACCESSIBILITY IN ZANZIBAR
    Dar es Salaam, Tanzania. Indian Prime Minister Narendra Modi and Tanzanian …
  • SMUGGLER'S IMPOUNDED TANZANITE AUCTIONED IN ARUSHA GEM FAIR
    Arusha. Tanzanite gemstones valued at more than 2.5 billion/- were auctioned during the recently held Arusha…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE