shinyanga
Basi jingine lapata ajali
Habari zilizotufikia ni kuwa basi lenye namba za usajili T148 BKK likitokea jijini Mwanza kwenda Tabora liligongana na lori katika kijiji cha Ibingo kata ya Samuye Shinyanga. 
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Shinyanga, RTO Chacha Marwa alibainisha kuwa, watu 10  wamepoteza maisha huku 51, wakijeruhiwa vibaya na kuendelea kukimbizwa hospitali.

ajali shinyanga

Basi lagongana na Lori na kuua

“Hadi sasa ni watu 10 wamepoteza maisha. Na tunaendelea kuokoa wengine ambao 51 ni majeruhi. hivyo bado tupo hapa kwa sasa na taarifa zaidi tutaendelea kuzitoa”
Hadi sasa majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga.



Mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi Amen, na Mwenyezi Mungu awajaalie nafuu ya haraka majeruhi wote.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • 3 DAYS STATE VISIT TO ISRAEL - UHURU
    President Uhuru Kenyatta is seen off by Deputy President William Ruto President Uhuru Kenyatta left for…
  • 6,000 VILLAGES WILL BE CONNECTED WITH ELECTRICITY IN TANZANIA
    6,000 villages will be connected with electricity through the Rural Energy Agency (REA) phase three, the…
  • 36 SPECIAL SEATS MP'S FOR CHADEMA, 10 FOR CUF AND 64 FOR CCM
    October 25, 2015 Tanzania voted for General Elections which resulted to increase in number of special seats…
  • MARIJUANA WORTH TSH 30 MILLION BURNT
    Nebuye village, Ukerewe. On Thursday members of the District Defense and Security Committee uprooted and…
  • WHO ARE WOMEN ELECTED MP'S IN TANZANIA 2015 ELECTION?
    Following the final result that provided a climax to several days of announcement of results for the…
  • 999TSH MIL TO FREE EDUCATION IN MWANZA SCHOOLS - GOVT
    Mwanza. The Treasury has disbursed Tsh.999 million to finance free education in both primary and secondary…
  • TRAIN COLLIDES WITH TRUCK IN GERMANY
    The accident occurred in Feihung, a German town of about 2,500 people near the border with the Czech…
  • 13 NEW FACES IN RC RESHUFFLE
    President of Tanzania John Magufuli released the long awaited line-up of regional commissioners (RCs) that…
  • BUTIKU: CHAMA CHANGU (CCM) MAGWIJI WA KUVUNJA TARATIBU (KATIBA)
    Joseph Butiku,Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Joseph Butiku,Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu…
  • KCPE AND UACE EXAMS KICK OFF IN KENYA AND UGANDA
    Kenya. A total of 937,467 candidates are set to start the Kenya Certificate of Primary Education examination…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE