Wananchi wakiboboa Nguzo katika mtaa wa Makoroboi, Mwanza


Wananchi wa Mkoa wa Mwanza, jana waliungana kuboboa ujenzi uliojengwa katika njia ya Mtaa wa Makoboi.

Mabomu yarindima Mwanza, katika ugomvi wa wamachinga na Wahindi

Mwandishi wetu akizungumza na mmoja ya mwananchi alisema, “Hii njia ipo tangu enzi za mjerumani na Mjerumani alikua akipita hapa na kwenda pale juu mlimani, haiwezekani hawa wahindi waje wanunue njia hii. Nyerere asingeruhusu haya yatokee”
Wengine walisikika wakisema “Peoples……Power"

Ujenzi huu wote inaaminika umekua ukifanyika usiku kwa usiku

Nguzo zilizowekwa
Baada ya kuboboa nguzo
Wananchi wa boboa nguzo katika mtaa wa Makoroboi, Mwanza

Ukuta uliojengwa katika Mtaa wa Makoroboi, Mwanza
USISITE KUTOA MAONI YAKO KUHUSU HILI TUKIO AMBALO NI ENDELEVU
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • DANGOTE KUJENGA BANDARI YAKE MTWARA
    Alhaji Dangote akisikiliza maelezo ya eneo husika Mtwara Wakazi wa kijiji cha Mgao, kata Naumbu…
  • Vehicles manufactured in West Afrika
    The Kantanka is a car that was conceived, designed and made in Ghana. This brand of cars is probably the…
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2014 - TANZANIA CSEE 2014 RESULT
    MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2014 BOFY HAPA CSEE 2014 RESULT CLICK HERE
  • GOOGLE SALUTES TANZANIA INDEPENDENCE DAY
    GOOGLE has saluted Tanzanians on the Independence celebration by removing one O and put the nation…
  • Appeal Court summons Briton over Tigo deal
    Yusuf Manji who own Golden Globe, is reported to have acquired the shares in the telecommunications firm…
  • PICTURE OF THE DAY.
    Our picture of the day 10/06/2016 is coming from France at the Stade de France. In Euro 2016, when…
  • ZITTO BADO NI MBUNGE WA CHADEMA - OFISI YA BUNGE
    ZITTO KABWE Ofisi ya Bunge imesema haijapata barua yoyote kuhusu kuvuliwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma…
  • PIERRE NKURUNZIZA DISMISSED AS COUNTRY PRESIDENT - SAID BURUNDI ARMY OFFICER
  • WAS OBAMA OR ZUMA RIGHT?
    During the 70th session of the United Nations General Assembly at United Nations headquarters in New York,…
  • SOMA MAGAZETI YA LEO HAPA
    MAGAZETI YA LEO Kama kawaida Habari Duniani inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE