Bunge la Tanzania
Bunge la Tanzania limepitisha muswada wa sheria ya udhibiti wa ajira za wageni wa mwaka 2014 ,ambapo pamoja na mambo mengine unaainisha vipengele muhimu vya ajira kwa wageni na wazawa.Hata hivyo bunge hilo limesisitiza serikali kupitia taarifa za waomba ajira wageni ili kubaini uwezo kuhusu ajira wazoomba na mienendo yao kijamii.

Sheria hiyo pia inawataka watanzania kuwepo katika ajira zote kutokana na sifa zao. Huku wageni wakianishiwa aina ya ajira kulingana na mahitaji ili kuleta ushindani sahihi katika soko la ajira nchini humo.

Sheria hiyo inalenga kuvutia waombaji wenye ujuzi kutoka nje kulingana na mahitaji,huku pia ikitoa fursa kwa wazawa.Akichangia muswada huo kabla ya kupitishwa mbunge wa Karatu Yohana natse anaeleza jinsi wazawa wanavyopaswa kunufaika zaidi.

Gaudensia Kabaka ni waziri wa kazi na ajira wa Tanzania na hapa amesema kuwa vibali vya kazi kwa wageni na suala la uraia kwa mjibu wa sheria hiyo ni mambo ambayo hayataenda pamoja,bali kinachotakiwa ni kutumiza masharti yote mawili.

Kupitia muswada huu,bunge limesema kuwa ni moja ya hatua itakayosaidia ajira wa vijana wa Tanzania ambayo baadhi yao wanakosa ajira kutokana na mazingira ya kipaumbele kuwa kwa wageni na si wazawa kama ilivyo katika mataifa mengi duniani ambayo kutoa fursa kwa wenyeji na kisha wageni baadaye.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • 2ND MINERAL SANDS REPORT:LIST OF MANY TO BE INTERROGATED
    Dar es Salaaam. Speaking at the State House yesterday after receiving a report from an eight-member team led…
  • GLOBAL ENTREPRENEURSHIP SUMMIT IN NAIROBI, KENYA 2015
    WHAT IS GLOBAL ENTREPRENEURSHIP SUMMIT IN NAIROBI 2015? The Global Entrepreneurship Summit (GES) Youth…
  • Why, Your Supposed to do this Business? Celebrities and Ordinary people
    This is the business fit everyone either you are celebrity or ordinary person. Celebrities refers to…
  • Relationship between Arsenal and Manchester City
    Arsenal and Manchester City have had numerous connections over the past 30 years, especially with a…
  • * DR.DENIS MUKWEGE NAMED AMONG 100 MOST INFLUENTIAL PEOPLE IN THE WORLD
    The 61-year-old doctor founded the Panzi Hospital in the eastern Democratic Republic of Congo in 1999 to…
  • MAGAZETI YA LEO TANZANIA
    Habari Duniani inakupa vichwa vya habari vya magazeti. Leo pia kuna habari mpya kwenye magazeti…
  • ACT - TANZANIA vs ACT-WAZALENDO
    ACT-TANZANIA ACT-TANZANIA DHIDI YA ACT-WAZALENDO ACT-WAZALENDO Zitto alijiunga…
  • * WABUNGE WAPYA WA UKAWA (CUF, CHADEMA, NLD NA NCCR-MAGEUZI)
    MAJIMBO MAPYA YA UKAWA (CUF, CHADEMA, NLD NA NCCR-MAGEUZI) James Mbatia ashinda Ubunge…
  • RUSSIAN PASSENGERS PLANE 7K9268 HAS CRASHED IN SINAI - EGYPT CONFIRMED
    Russian passengers plane 7K9268 has crashed in Sinai. A Russian plane carrying more than 200 people has…
  • HOLY FATHER POPE FRANCIS FALLS DOWN. IS HE OK?
    Poland: Pope Francis missed a step and fell to the ground Thursday as he walked on an open-air platform to…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE