Polisi nchini Tanzania wamesema wanawasaka watuhumiwa waliowajeruhi askari sita kwa risasi mkoani Tanga.

Askari hao walijeruhiwa wakati wakifanya kazi ya kuwatafuta watuhumiwa wa uhalifu wa kutumia silaha wanaodaiwa kuwa walijificha eneo moja nje ya mji wa Tanga wakiwa na silaha.

Awali kulizagaa taarifa na hofu kuwa wahusika walikuwa na itikadi za kigaidi, lakini taarifa ya maandishi iliyotolewa na polisi imewaita watu hao kuwa ni majambazi na kwamba msako wa kuwatafuta unaendelea.

Hata hivyo taarifa haikuleleza wanaotafutwa ni watu wangapi, ingawa imetaja kuhusika kwa jeshi lenye silaha jambo linaloashiria mapambano yalikuwa makali.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • TANZANIA PORTS AND REVENUE AUTHORITY ON INTER-BANK SETTLEMENT SYSTEM
    The Director of National Payment System at BoT, Mr Bernard Dadi, said the Central bank agreed to extend…
  • Relationship between Arsenal and Manchester City
    Arsenal and Manchester City have had numerous connections over the past 30 years, especially with a…
  • LOWASSA AKARIBISHWA UKAWA KUPITIA CHADEMA
    Lowassa ajiunga Chadema Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umesema umemkaribisha rasmi Waziri Mkuu…
  • JAMES LEMBELI AONDOKA CCM
    James Lembeli James Lembeli, Mbunge wa Kahama aliyemaliza muda wake amekataa kubadili msimamo wake wa…
  • 10 WORSE NATIONS TO GROW OLD
    The charity's Global AgeWatch Index measured the social and economic welfare of those over 60…
  • 2ND MINERAL SANDS REPORT:LIST OF MANY TO BE INTERROGATED
    Dar es Salaaam. Speaking at the State House yesterday after receiving a report from an eight-member team led…
  • * TANZANIA BANS THE USE OF PUBLIC FUNDS ON CHRISTMAS AND NEW YEAR CARDS
    The government of Tanzania yesterday banned printing and distributing festive season cards ahead of this…
  • DANGOTE KUJENGA BANDARI YAKE MTWARA
    Alhaji Dangote akisikiliza maelezo ya eneo husika Mtwara Wakazi wa kijiji cha Mgao, kata Naumbu…
  • WE WON WITH POORLY EDUCATED - DONALD TRUMP
    Donald Trump sweeps to victory in Nevada Republican caucuses on Tuesday, finished more than 20 points…
  • 2015 ACSEE EXAMINATION RESULTS
    Matokeo ya Kidato cha Sita yametangazwa rasmi na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA). MATOKEO YA KIDATO…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE