Polisi nchini Tanzania wamesema wanawasaka watuhumiwa waliowajeruhi askari sita kwa risasi mkoani Tanga.

Askari hao walijeruhiwa wakati wakifanya kazi ya kuwatafuta watuhumiwa wa uhalifu wa kutumia silaha wanaodaiwa kuwa walijificha eneo moja nje ya mji wa Tanga wakiwa na silaha.

Awali kulizagaa taarifa na hofu kuwa wahusika walikuwa na itikadi za kigaidi, lakini taarifa ya maandishi iliyotolewa na polisi imewaita watu hao kuwa ni majambazi na kwamba msako wa kuwatafuta unaendelea.

Hata hivyo taarifa haikuleleza wanaotafutwa ni watu wangapi, ingawa imetaja kuhusika kwa jeshi lenye silaha jambo linaloashiria mapambano yalikuwa makali.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • APANDIKIZWA UUME
    Daktari wa usapuaji nchini Afrika Kusini amethibitisha kwamba mwanamme wa kwanza aliyepandikizwa uume…
  • WATOTO WA VIGOGO BOT WANAKESI YA KUJIBU NA TUHUMA ZA KUGHUSHI VYETI
    Benki Kuu ya Tanzania (BoT) WAFANYAKAZI wanane wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), wanaokabiliwa na tuhuma za…
  • _ POPE TO VISIT KENYA, UGANDA AND CENTRAL AFRICAN REPUBLIC IN NOVEMBER
    Kenyas Catholic looks forward to Pope Francis’ first visit from November 25 to 27. On Sunday they will begin…
  • 1 DECEMBER 2015 WORLD AIDS DAY EXHIBITION CANCELLED IN TANZANIA
    President of United Republic of Tanzania Dr. John Magufuli cancelled the climax of HIV and AIDS…
  • J. WOLPER ANASWA AKITOKA NDANI YA JUMBA LA FREEMASON DAR ES SALAAM
    Pichani msanii wa sinema za Kibongo Wolper Mshtuko! Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe…
  • Floyd Mayweather vs Manny Pacquiao
    Pambano la masumbwi linalosubiriwa na ulimwengu mzima kati ya mabondia wawili bora katika miaka ya hivi…
  • Mafuriko Yaua watu zaidi ya 30 Tanzania.
    Mvua ya Mawe Watu wasiopungua 30 wamepoteza maisha na wengine wasiopungu 80 kujeruhiwa baada ya mvua…
  • 13 DEAD ON LAKE VICTORIA, POLICE SEAL OFF BEACHES
    Police spokesperson, Fred Enanga, said the beaches where bodies washed up are being treated as…
  • ARSENAL AGREED DEAL WITH VILLARREAL FOR GABRIEL PAULISTA WHILE JOEL CAMPBELL SWITH ON LOAN
    Gabriel Paulista say farewell to the Villarreal fans as he is given a yellow submarine as a farewell…
  • JESHI LA MISRI LASHAMBULIA DOLA LA KIISLAMU LIBYA
    Jeshi la Misri limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya vituo vya Dola la Kiislamu nchini Libya, baada ya…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE