Polisi nchini Tanzania wamesema wanawasaka watuhumiwa waliowajeruhi askari sita kwa risasi mkoani Tanga.

Askari hao walijeruhiwa wakati wakifanya kazi ya kuwatafuta watuhumiwa wa uhalifu wa kutumia silaha wanaodaiwa kuwa walijificha eneo moja nje ya mji wa Tanga wakiwa na silaha.

Awali kulizagaa taarifa na hofu kuwa wahusika walikuwa na itikadi za kigaidi, lakini taarifa ya maandishi iliyotolewa na polisi imewaita watu hao kuwa ni majambazi na kwamba msako wa kuwatafuta unaendelea.

Hata hivyo taarifa haikuleleza wanaotafutwa ni watu wangapi, ingawa imetaja kuhusika kwa jeshi lenye silaha jambo linaloashiria mapambano yalikuwa makali.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • ALEXIS TSIPRAS WAZIRI MKUU WA UGIRIKI AJIUZURU
    UGIRIKI Waziri Mkuu wa Ukigiki (Alexis Tsipras) siku ya Alhamisi ametangaza kujiuzuru na…
  • MILITARY PLANE TO EVACUATE OBAMA IN CASE OF EMERGENCY
    President Obama will be on Sunday to give a lecture to Members of Parliament as well as women, youth and…
  • RUSSIAN PASSENGERS PLANE 7K9268 HAS CRASHED IN SINAI - EGYPT CONFIRMED
    Russian passengers plane 7K9268 has crashed in Sinai. A Russian plane carrying more than 200 people has…
  • Best European players and World Cup winner who will be missing in AFCON
    Jerome Boateng -Ghana, David Alaba - Nigeria and Kelvin Boateng - Ghana France National squad several…
  • 100,000 JOBS TO BE CREATED BY DEWJI
    Dar es Salaam, Tanzania: Last week President Magufuli hosted the President’s Manufacturer of the Year Awards…
  • MAHAKAMA TANZANIA YAPOKEA MSAADA WENYE THAMANI YA DOLLA 95,000
    Mahakama kuu ya Tanzania imepokea msaada wa mashine 38 za kupiga chapa Kutoka Mahakama ya mauaji ya…
  • 5 BORA YA CCM URAISI 2015
    CCM imeyatangaza majina matano yaliyopitishwa na Kamati ya CCM (CC) MAJINA MATANO 1. Bernard Membe 2.…
  • WATOTO WALIOFICHWA WAZUNGUMZA.
    Baadhi ya Watoto 18 Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey Kamwela…
  • WATANGAZA NIA WALIOENDA KWA TB JOSHUA
    Mwaka 2015 ni mwaka wa uchaguzi nchini Tanzania. Kupitia wanachama  mbalimbali nchini kutangaza nia…
  • PICTURE OF THE DAY.
    Our picture of the day 10/06/2016 is coming from France at the Stade de France. In Euro 2016, when…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE