Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya awamu ya tatu Mhe. Frederick Sumaye kujivua uanachana na kujiunga na NCCR-Mageuzi, moja ya chama kati ya vinne vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Sumaye anakuwa Waziri Mkuu mstaafu wa pili kuhama chama tawala, CCM, kama alivyofanya Edward Lowassa, ambaye naye alitangaza kujiunga CHADEMA mwezi Julai baada ya kutokuridhishwa na mchujo wa kupata mgombea Urais wa Tanzania 2015 na kufanikiwa kuteuliwa na chama chake kipya kuwakilisha vyama vinne katika kiti hicho.
Akitangaza uamuzi wake huo moja kwa moja "LIVE" kupitia runinga ya ITV katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika pale Bahari Beach Hotel, jijini Dar es Salaam, Sumaye amesema, CCM imejaa kiburi.

Amesema kwa kudhihirisha hilo, wakati nchi inaelekea kwenye uchaguzi, viongozi wa chama hichowaliokuwa wakizunguka nchi nzima walijielekeza zaidi kuishambulia serikali badala ya kuhamasisha wananchi kujiandikisha kupiga kura.
Sumaye amesema kuwa, "kulizuia wimbi la mageuzi ninaloliona ni ngumu kweli kweli" na kuwahimiza waliobaki CCM na walio kwenye madaraka, wajiunge na upinzani ili kuharakisha mabadiliko hayo.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • NAIROBI SENATOR HAS SUED NAIROBI GOVERNOR
    Mike Sonko, Nairobi senator has sued Dr Evans Kidero, Nairobi governor over a defamatory remark he…
  • Arsenal: Coquelin is my Insurance - Ramsey
    Aaron Ramsey says Francis Coquelin's presence in midfield has given him more license to go…
  • WAZIRI ASHINDWA UCHAGUZI NA KUMSHAMBULIA MSIMAMIZI
    Dk Titus Kamani ashindwa uchaguzi Hali ilikuwa mbaya jimboni Busega ambako baada ya Dk Kamani na wafuasi…
  • SOMA MAGAZETI YA LEO
    Tanzania Newspaper front pages. Kama kawaida Habari Duniani inakupa vichwa vya habari vya…
  • JAMES LEMBELI AONDOKA CCM
    James Lembeli James Lembeli, Mbunge wa Kahama aliyemaliza muda wake amekataa kubadili msimamo wake wa…
  • KURA YA MAONI YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA YAHAIRISHWA
    KURA YA MAONI YA KATIBA YAHAIRISHWA Tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC) imesema kuwa kura ya maoni ya…
  • PRESIDENT MAGUFULI APPOINT GEORGE MASAJU AS ATTORNEY GENERAL
    Attorney General (AG) Mr.George Masaju President Dr. John Magufuli officially started work at State House…
  • First vehicles manufactured in Uganda and Kenya - Kiira and Mobius
    This is a car developed in Uganda by Kiira Motors Corporation (KMC), origionally…
  • .MZEE ALIYECHORA NEMBO YA TAIFA AFARIKI DUNIA
    Mzee Francis Maige Kanyasi alipolazwa Hospitali. Dar es Salaam, Muhimbili. Hospitali ya Taifa ya…
  • * ZEC YAFUTA MATOKEO YA UCHAGUZI ZANZIBAR
    Zanzibar: Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wa Zanzibar – ZEC kwa mamlaka ya Kikatiba aliyopewa,…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE