Mgombea Urais wa Zanzibar wa UKAWA kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akionyesha mkoba wenye Fomu za kuwania nafasi hiyo, leo Agosti 23, 2015, kwenye Ukumbi wa Salama, Bwawani, Zanzibar.

Seif Sharif Hamad, Edward Lowassa
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akimpongeza Mgombea Urais wa Zanzibar wa UKAWA kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, baada ya kuchukua Fomu za kuwania nafasi hiyo, kwenye Ukumbi wa Salama, Bwawani, Zanzibar.

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha akisoma taarifa ya muongozo kwa Mgombea Urais wa Zanzibar wa UKAWA kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, wakati wa kuchukua Fomu ya kuwania nafasi hiyo, kwenye Ukumbi wa Salama, Bwawani, Zanzibar. Maalim Seif alisindikizwa na Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa,Mgombea Mweza, Dkt. Juma Haji Duni pamoja na viongozi wengine wanaounda UKAWA.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • UK NEWS PAPERS
    Habari Duniani Media Limited brings UK News Paper in your finger tips. Read Today Uk News Papers…
  • HAVE YOU READ TODAY UK SPORT NEWSPAPER?
    Habaru Duniani brings to you UK Sport Newspapers at your finger tips. Please do not forget to like our page…
  • Maandamano ya Kigoma yampa Ujumbe huu Dk.Slaa wa CHADEMA
    Ujumbe wa Dk.Slaa kutoka Kigoma …
  • 10 WORSE NATIONS TO GROW OLD
    The charity's Global AgeWatch Index measured the social and economic welfare of those over 60…
  • WHO ARE WOMEN ELECTED MP'S IN TANZANIA 2015 ELECTION?
    Following the final result that provided a climax to several days of announcement of results for the…
  • LOWASSA AKARIBISHWA UKAWA KUPITIA CHADEMA
    Lowassa ajiunga Chadema Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umesema umemkaribisha rasmi Waziri Mkuu…
  • GLOBAL ENTREPRENEURSHIP SUMMIT IN NAIROBI, KENYA 2015
    WHAT IS GLOBAL ENTREPRENEURSHIP SUMMIT IN NAIROBI 2015? The Global Entrepreneurship Summit (GES) Youth…
  • KENYA PAC FOUND MINISTRY SPENT SH.450,000 ON CONDOM DISPENSERS,PIANO,SH 1.7M ON TV
    Nairobi, Kenya. Devolution ministry spent Sh.450, 000 for 18 custom-made condom dispensers. The Devolution…
  • HOW TO GET CRIMINAL DEFENSE ATTORNEY?
    Were you arrested in Tanzania for a crime against a person (like assault and battery, rape, or murder), a…
  • MORSI JELA MIAKA 20 MISRI
    Raisi wa Zamani wa Misri, Mohammed Morsi Misri. Makahama nchini Misri imemhukumu aliyekuwa rais wa…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE