Waziri wa Mawasilaiano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa(Mb), akiongea na waandishi wa habari. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bwana John Mngodo.
Sheria ya Makosa Mtandao, 2015 ambayo ilitangazwa kwenye gazeti la Serikali la Tarehe 14/08/2015 na kupewa Na.328. Pia Sheria ya Miamala ya Kielektroniki, 2015 ambayo ilitangazwa kwenye Gazeti la Serikali la tarehe hiyo hiyo na kupewa Na.329.

Tamko la kuanza utekelezaji rasmi wa sheria hizo mbili yaani ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015  na sheria ya miamala ya kielektroniki ya mwaka 2015  lilitolewa na Wizara ya Mawasilaiano, Sayansi na Teknolojia kupitia waziri wake, Profesa Makame Mbarawa. Sheria hizo zinaanza kutumika rasmi kuanzia Jumanne yaani Septemba mosi mwaka huu.

Profesa Makame Mbarawa, Serikali baada ya kujiridhisha kua maandalizi yote muhimu ikiwemo elimu kwa umma na kujenga uelewa kwa watekelezaji wa sheria hizi yamefanyika. Sasa, Sheria hizi zitaanza kutumika rasmi tarehe 01/09/2015.

Kwa hivyo, natoa rain a wito kwa wananchi wote kua tuzingatie “Matumizi Salama na Sahihi ya Huduma za Mawasiliano na Mtandao kwa manufaa ya kila mmoja na kwa maendeleo ya Taifa letu. Mitandao ikitumiwa vema ina faida kubwa sana katika jamii yetu.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • HAKI ZAKO UWAPO MIKONONI MWA POLISI.
    UWAPO MIKONONI MWA POLISI FANYA HAYA   1. Askari akikuweka chini ya ulinzi muulize…
  • MORSI JELA MIAKA 20 MISRI
    Raisi wa Zamani wa Misri, Mohammed Morsi Misri. Makahama nchini Misri imemhukumu aliyekuwa rais wa…
  • ACACIA TAX FEUD: EXECUTIVE CHAIRMAN MET WITH TANZANIA PRESIDENT
    Tanzania’s President met with Barrick Gold Corp. Executive Chairman John Thornton in an effort to…
  • 3 PATIENTS IN HOSPITAL WITH ZIKA IN UK
    Three Brits have been diagnosed with the Zika virus after returning from overseas. The cases at Calderdale…
  • NATIONAL BANK OF COMMERCE VACANCIES - 2015
    NATIONAL BANK OF COMMERCE VACANCIES - 2015 This is your chance to belong to a world-class…
  • KIKWETE ORDERED TAX EXEMPTION ON CONTAINERS
    Former President of Tanzania has dismissed allegations that he sanctioned the removal of containers from…
  • KAULI YA PENGO DHIDI YA GWAJIMA
    ASKOFU PENGO 'Kuna mtu mmoja,ambaye hata jina lake silikumbuki,ameinuka na kunena maneno juu yangu,ambayo…
  • MAHAKAMA TANZANIA YAPOKEA MSAADA WENYE THAMANI YA DOLLA 95,000
    Mahakama kuu ya Tanzania imepokea msaada wa mashine 38 za kupiga chapa Kutoka Mahakama ya mauaji ya…
  • WAZIRI ASHINDWA UCHAGUZI NA KUMSHAMBULIA MSIMAMIZI
    Dk Titus Kamani ashindwa uchaguzi Hali ilikuwa mbaya jimboni Busega ambako baada ya Dk Kamani na wafuasi…
  • FORMER KENYA JUDICIARY CHIEF REGISTRAR SKIPS COURT
    Kenya. Former Judiciary Chief Registrar,Gladys Shollei did not appear in court on Tuesday to take plea…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE