ZITTO KABWE
Siasa za Tanzania kwa hivi sasa zimechukua mkondo mpya baada ya aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kujiunga rasmi na chama alichokuwa akihusishwa kwa muda mrefu, chama cha ACT-Tanzania.

SAMSONI MWIGAMBA AKITETA JAMBO NA ZITTO KABWE
Mwanasiasa huyo ambaye jana alikutana na waandishi wa habari na kueleza sababu za kujiunga na chama hicho amekuwa akijadiliwa katika kona mbalimbali kutokana na hatua yake hiyo ambayo wengine wanaitizama kama ni hatua itakayokoleza ushindani mkali kwa vyama vya upinzani katika uchaguzi mkuu ujao.

Miongoni mwa watu wanaotajwa kuasisi chama hicho kipya ni msomi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Profesa Kitila Mkumbo ambaye pia amewahi kuwa kiongozi ndani ya CHADEMA kabla ya kutimuliwa kwa madai ya kuandaa mkakati wa kuleta mapinduzi katika chama hicho.

Profesa Kitila Mkumbo akiwa na Zitto Kabwe
Wapo watu wengi maarufu wameshajiunga na chama cha ACT- Tanzania kama orodha hapa chini inavyoonyesha:
Orodha ya baadhi ya wanachama wapya wa ACT-Tanzania
Msanii maarufu kwa jina la AFANDE SELE
Una maoni gani kuhusu uwepo wa chama hicho kipya katika uwanja wa siasa za vyama vingi nchini Tanzania. Toa maoni yako sasa na mshirikishe mwenzako habari hii.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • KCPE AND UACE EXAMS KICK OFF IN KENYA AND UGANDA
    Kenya. A total of 937,467 candidates are set to start the Kenya Certificate of Primary Education examination…
  • JESHI LA MISRI LASHAMBULIA DOLA LA KIISLAMU LIBYA
    Jeshi la Misri limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya vituo vya Dola la Kiislamu nchini Libya, baada ya…
  • TODAY NEWSPAPER FRONT PAGES - TANZANIA
    Today Tanzania newspapers HabariDuniani brings Tanzania newspaper headlines at your finger tips. THE…
  • PIERRE NKURUNZIZA DISMISSED AS COUNTRY PRESIDENT - SAID BURUNDI ARMY OFFICER
  • Mafuriko Yaua watu zaidi ya 30 Tanzania.
    Mvua ya Mawe Watu wasiopungua 30 wamepoteza maisha na wengine wasiopungu 80 kujeruhiwa baada ya mvua…
  • KINGUNGE: LOWASSA ANAKUBALIKA. CCM IMEPOTEZA MWELEKEO
    Kingunge Ngombale Mwiru ‘ametoroka’ chama hicho kutokana na kile alichokieleza kimepoteza…
  • 10 FACTORS TO RAISE INSURANCE INDUSTRY IN TANZANIA
    How can Tanzania grow the sector and exploit the unique combination of factors Africa has in her…
  • 3 PATIENTS IN HOSPITAL WITH ZIKA IN UK
    Three Brits have been diagnosed with the Zika virus after returning from overseas. The cases at Calderdale…
  • 1.09 BILLION COLLECTED IN DAR ES SALAAM AS FINE FOR TRAFFIC OFFENCES IN 3 WEEKS
    The Special Zone Police Commander, Commissioner of Police (CP) Simon Sirro, addressing reporters in the…
  • INSURANCE BUSINESS AND TAXATION IN TANZANIA
    Meaning and basic concepts of Insurance General Meaning and Concepts: Insurance means a promise of…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE