ZITTO KABWE
Siasa za Tanzania kwa hivi sasa zimechukua mkondo mpya baada ya aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kujiunga rasmi na chama alichokuwa akihusishwa kwa muda mrefu, chama cha ACT-Tanzania.

SAMSONI MWIGAMBA AKITETA JAMBO NA ZITTO KABWE
Mwanasiasa huyo ambaye jana alikutana na waandishi wa habari na kueleza sababu za kujiunga na chama hicho amekuwa akijadiliwa katika kona mbalimbali kutokana na hatua yake hiyo ambayo wengine wanaitizama kama ni hatua itakayokoleza ushindani mkali kwa vyama vya upinzani katika uchaguzi mkuu ujao.

Miongoni mwa watu wanaotajwa kuasisi chama hicho kipya ni msomi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Profesa Kitila Mkumbo ambaye pia amewahi kuwa kiongozi ndani ya CHADEMA kabla ya kutimuliwa kwa madai ya kuandaa mkakati wa kuleta mapinduzi katika chama hicho.

Profesa Kitila Mkumbo akiwa na Zitto Kabwe
Wapo watu wengi maarufu wameshajiunga na chama cha ACT- Tanzania kama orodha hapa chini inavyoonyesha:
Orodha ya baadhi ya wanachama wapya wa ACT-Tanzania
Msanii maarufu kwa jina la AFANDE SELE
Una maoni gani kuhusu uwepo wa chama hicho kipya katika uwanja wa siasa za vyama vingi nchini Tanzania. Toa maoni yako sasa na mshirikishe mwenzako habari hii.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • MRI EQUIPMENT REPAIRED AT MUHIMBILI AFTER MAGUFULI VISIT
    Muhimbili National Hospital (File Photo) Muhimbili National Hospital (MNH) has announced that…
  • 20 BOKO HARAM KILLED BY NIGER SOLDIERS
    At least 20 members of the Islamist militia Boko Haram group were killed on Wednesday in Southern Niger by…
  • ARMY LAND CRUISER STOLEN
    Kenya; There is mystery surrounds the disappearance of a Kenya Army Land Cruiser from the Embakasi…
  • MAGAZETI YA LEO, SOMA HAPA
    Tanzania Newspaper front pages. Kama kawaida Habari Duniani inakupa vichwa vya habari vya…
  • MAWAZIRI NA VIGOGO WALIOSHINDWA KURA ZA MAONI CCM
    Mathias Chikawe Waziri wa Mambo ya ndani ni miongoni mwa wanachama maarufu wa CCM walioshindwa…
  • 1 TV STATION & 15 RADIO STATIONS BANNED IN TANZANIA
    Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) have banned for three months fifteen out of the 20…
  • TODAY NEWSPAPER FRONT PAGES - TANZANIA
    Today Tanzania newspapers HabariDuniani brings Tanzania newspaper headlines at your finger tips. THE…
  • Mafuriko Yaua watu zaidi ya 30 Tanzania.
    Mvua ya Mawe Watu wasiopungua 30 wamepoteza maisha na wengine wasiopungu 80 kujeruhiwa baada ya mvua…
  • GARI MPYA INAYOTEMBEA KM 1000 KWA LITA 1 YA DIESEL
    CeBIT 2015 CeBIT 2015, gari iliyotengenezwa na kampuni Volkswagen,inatembea km100 kwa lita 1 ya…
  • 90 years old woman found in school studying.
    Akiwa na umri wa miaka 90 mwanamke wa Kenya ambaye anahudhuria masomo akiwa na wajukuu zake wapatao sita…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE