ZITTO KABWE
Siasa za Tanzania kwa hivi sasa zimechukua mkondo mpya baada ya aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kujiunga rasmi na chama alichokuwa akihusishwa kwa muda mrefu, chama cha ACT-Tanzania.

SAMSONI MWIGAMBA AKITETA JAMBO NA ZITTO KABWE
Mwanasiasa huyo ambaye jana alikutana na waandishi wa habari na kueleza sababu za kujiunga na chama hicho amekuwa akijadiliwa katika kona mbalimbali kutokana na hatua yake hiyo ambayo wengine wanaitizama kama ni hatua itakayokoleza ushindani mkali kwa vyama vya upinzani katika uchaguzi mkuu ujao.

Miongoni mwa watu wanaotajwa kuasisi chama hicho kipya ni msomi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Profesa Kitila Mkumbo ambaye pia amewahi kuwa kiongozi ndani ya CHADEMA kabla ya kutimuliwa kwa madai ya kuandaa mkakati wa kuleta mapinduzi katika chama hicho.

Profesa Kitila Mkumbo akiwa na Zitto Kabwe
Wapo watu wengi maarufu wameshajiunga na chama cha ACT- Tanzania kama orodha hapa chini inavyoonyesha:
Orodha ya baadhi ya wanachama wapya wa ACT-Tanzania
Msanii maarufu kwa jina la AFANDE SELE
Una maoni gani kuhusu uwepo wa chama hicho kipya katika uwanja wa siasa za vyama vingi nchini Tanzania. Toa maoni yako sasa na mshirikishe mwenzako habari hii.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • MAGAZETI YA LEO
    Kama kawaida Habari Duniani inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia…
  • SOMA MAGAZETI YA LEO HAPA
    Kama kawaida Habari Duniani inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia…
  • Nick Cannon files a Divorce from Mariah Carey
    Let's hope Mariah Carey has mastered the art of letting go. According to a new report…
  • Relationship between Arsenal and Manchester City
    Arsenal and Manchester City have had numerous connections over the past 30 years, especially with a…
  • TANZANIA PORTS AND REVENUE AUTHORITY ON INTER-BANK SETTLEMENT SYSTEM
    The Director of National Payment System at BoT, Mr Bernard Dadi, said the Central bank agreed to extend…
  • What to do before buying Land? Do not buy Land without reading this.
    QN How do I tell that a title deed or allotment letter is fake? This is very tricky, and sometimes…
  • IS YOUR FRIEND GOING THROUGH HARD TIME?
    All of us have been sometime in our lives in very difficult situations when we got the support and strength…
  • NESI AMCHAPA VIBOKO MJAMZITO NA MTOTO AFIA TUMBONI
    MANESI WAKISHIRIKISHANA JAMBO Muuguzi aliyekuwa zamu katika kituo cha Afya cha Muungano wilayani…
  • Appeal Court summons Briton over Tigo deal
    Yusuf Manji who own Golden Globe, is reported to have acquired the shares in the telecommunications firm…
  • GOODLUCK JONATHAN TO RECONCILE IN ZANZIBAR POLL STALEMATE
    Zanzibar. The Commonwealth has appointed former President Goodluck Jonathan to lead the charge for the…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE