ZITTO KABWE
Siasa za Tanzania kwa hivi sasa zimechukua mkondo mpya baada ya aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kujiunga rasmi na chama alichokuwa akihusishwa kwa muda mrefu, chama cha ACT-Tanzania.

SAMSONI MWIGAMBA AKITETA JAMBO NA ZITTO KABWE
Mwanasiasa huyo ambaye jana alikutana na waandishi wa habari na kueleza sababu za kujiunga na chama hicho amekuwa akijadiliwa katika kona mbalimbali kutokana na hatua yake hiyo ambayo wengine wanaitizama kama ni hatua itakayokoleza ushindani mkali kwa vyama vya upinzani katika uchaguzi mkuu ujao.

Miongoni mwa watu wanaotajwa kuasisi chama hicho kipya ni msomi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Profesa Kitila Mkumbo ambaye pia amewahi kuwa kiongozi ndani ya CHADEMA kabla ya kutimuliwa kwa madai ya kuandaa mkakati wa kuleta mapinduzi katika chama hicho.

Profesa Kitila Mkumbo akiwa na Zitto Kabwe
Wapo watu wengi maarufu wameshajiunga na chama cha ACT- Tanzania kama orodha hapa chini inavyoonyesha:
Orodha ya baadhi ya wanachama wapya wa ACT-Tanzania
Msanii maarufu kwa jina la AFANDE SELE
Una maoni gani kuhusu uwepo wa chama hicho kipya katika uwanja wa siasa za vyama vingi nchini Tanzania. Toa maoni yako sasa na mshirikishe mwenzako habari hii.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • KINGUNGE: LOWASSA ANAKUBALIKA. CCM IMEPOTEZA MWELEKEO
    Kingunge Ngombale Mwiru ‘ametoroka’ chama hicho kutokana na kile alichokieleza kimepoteza…
  • MAHAKAMA TANZANIA YAPOKEA MSAADA WENYE THAMANI YA DOLLA 95,000
    Mahakama kuu ya Tanzania imepokea msaada wa mashine 38 za kupiga chapa Kutoka Mahakama ya mauaji ya…
  • * TANZANIA BANS THE USE OF PUBLIC FUNDS ON CHRISTMAS AND NEW YEAR CARDS
    The government of Tanzania yesterday banned printing and distributing festive season cards ahead of this…
  • 90 years old woman found in school studying.
    Akiwa na umri wa miaka 90 mwanamke wa Kenya ambaye anahudhuria masomo akiwa na wajukuu zake wapatao sita…
  • Vehicles manufactured in West Afrika
    The Kantanka is a car that was conceived, designed and made in Ghana. This brand of cars is probably the…
  • 20 BOKO HARAM KILLED BY NIGER SOLDIERS
    At least 20 members of the Islamist militia Boko Haram group were killed on Wednesday in Southern Niger by…
  • WATOTO WA VIGOGO BOT WANAKESI YA KUJIBU NA TUHUMA ZA KUGHUSHI VYETI
    Benki Kuu ya Tanzania (BoT) WAFANYAKAZI wanane wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), wanaokabiliwa na tuhuma za…
  • HONGERA JAKAYA KIKWETE KWA KUTIMIZA MIAKA 65
    Tarehe kama ya Leo miaka 65 iliyopita Raisi wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndugu,…
  • UKAWA WAANZA SAFARI YA URAISI 2015 TANZANIA
    Tangu mwaka huu uanze zimekuwapo pilikapilika nyingi za kisiasa ndani ya vyama vya siasa na Jumanne…
  • RAISI KIKWETE AMETEUA WABUNGE WAWILI WAPYA
    ALI HASSAN MWINYI, JAKAYA KIKWETE, BENJAMINI MKAPA Raisi Jakaya Mrisho Kikwete:Ameteua wabunge wawili (2)…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE