ZITTO KABWE
Siasa za Tanzania kwa hivi sasa zimechukua mkondo mpya baada ya aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kujiunga rasmi na chama alichokuwa akihusishwa kwa muda mrefu, chama cha ACT-Tanzania.

SAMSONI MWIGAMBA AKITETA JAMBO NA ZITTO KABWE
Mwanasiasa huyo ambaye jana alikutana na waandishi wa habari na kueleza sababu za kujiunga na chama hicho amekuwa akijadiliwa katika kona mbalimbali kutokana na hatua yake hiyo ambayo wengine wanaitizama kama ni hatua itakayokoleza ushindani mkali kwa vyama vya upinzani katika uchaguzi mkuu ujao.

Miongoni mwa watu wanaotajwa kuasisi chama hicho kipya ni msomi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Profesa Kitila Mkumbo ambaye pia amewahi kuwa kiongozi ndani ya CHADEMA kabla ya kutimuliwa kwa madai ya kuandaa mkakati wa kuleta mapinduzi katika chama hicho.

Profesa Kitila Mkumbo akiwa na Zitto Kabwe
Wapo watu wengi maarufu wameshajiunga na chama cha ACT- Tanzania kama orodha hapa chini inavyoonyesha:
Orodha ya baadhi ya wanachama wapya wa ACT-Tanzania
Msanii maarufu kwa jina la AFANDE SELE
Una maoni gani kuhusu uwepo wa chama hicho kipya katika uwanja wa siasa za vyama vingi nchini Tanzania. Toa maoni yako sasa na mshirikishe mwenzako habari hii.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • KINGUNGE: LOWASSA ANAKUBALIKA. CCM IMEPOTEZA MWELEKEO
    Kingunge Ngombale Mwiru ‘ametoroka’ chama hicho kutokana na kile alichokieleza kimepoteza…
  • WAZIRI ASHINDWA UCHAGUZI NA KUMSHAMBULIA MSIMAMIZI
    Dk Titus Kamani ashindwa uchaguzi Hali ilikuwa mbaya jimboni Busega ambako baada ya Dk Kamani na wafuasi…
  • ARSENAL FAN COMMITS SUICIDE AFTER DEFEAT
    For losing a betting stake worth U.shs 500,000 when Monaco overcame Arsenal football club 3-1 in a…
  • GLOBAL ENTREPRENEURSHIP SUMMIT IN NAIROBI, KENYA 2015
    WHAT IS GLOBAL ENTREPRENEURSHIP SUMMIT IN NAIROBI 2015? The Global Entrepreneurship Summit (GES) Youth…
  • WHY MOBIUS SEEKS NEW MONEY FOR MASS VEHICLE PRODUCTION?
    MOBIUS VEHICLE MANUFACTURE IN KENYA An investor at Mobius says it will sell equity stakes to a number of…
  • 6,000 VILLAGES WILL BE CONNECTED WITH ELECTRICITY IN TANZANIA
    6,000 villages will be connected with electricity through the Rural Energy Agency (REA) phase three, the…
  • RUSSIAN PASSENGERS PLANE 7K9268 HAS CRASHED IN SINAI - EGYPT CONFIRMED
    Russian passengers plane 7K9268 has crashed in Sinai. A Russian plane carrying more than 200 people has…
  • RUTO CAMPAIGNING FOR MUSEVENI
    Uganda: William Ruto addressing media with Museveni today morning at Kapchorwa State Lodge, he claimed…
  • SOMA MAGAZETI YA LEO HAPA
    Kama kawaida Habari Duniani inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia…
  • WATOTO WALIOFICHWA WAZUNGUMZA.
    Baadhi ya Watoto 18 Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey Kamwela…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE