ARSENAL, FRANCE, SKY SPORTS, ARSENE WENGER
THIERRY HENRY

THIERRY HENRY AVAA WIGI

Aliyekuwa mshambulizi mahiri aliyewai kuchezea timu ya Arsenal ya Uingereza na timu ya taifa ya Ufaransa Thierry Henry aliwashangaza wanafunzi katika shule moja nchini Wales alipoingia darasani akiwa amevalia nywele bandia (maarufu wigi) na miwani na kuwafunza somo la biashara ya ununuzi.

Wanafunzi wa shule ya upili ya Pen-y-Dre ilioko, Merthyr walipigwa na bumbuazi nyota huyo alipojitambulisha kwao kwa niya ya kumkabidhi mmoja wa wanafunzi wa shule hiyo tuzo la ufanisi katika michezo inayodhaminiwa na shirika la habari la Sky.
Henry, ambaye ni balozi wa masomo wa Sky alimkabidhi Emma Morgan tuzo hilo kwa mchango wake katika michezo. Kipindi hicho cha kuwatuza wanafunzi waliochangia katika michezo katika umri mdogo kitapeperushwa hewani siku ya jumapili katika Sky Sports1.
Emma ambaye amethibitisha udedea wake katika uogeleaji aliweka rekodi ya kuwa mwanafunzi mwenye umri mdogo zaidi kuwahi kuiwakilisha Wales katika mashindano ya bara ulaya ya uogeleaji huko Sweden. Emma alimaliza katika nafasi ya pili katika kitengo chake na kutuzwa nishani ya fedha.

LA GALAXY
THIERRY HENRY

Muogeleaji huyo atakuwa miongoni mwa wanaspoti watakaotuzwa siku ya jumapili wakati wa sherehe ya kumtuza mwanaspoti bora nchini Uingereza Wales na Ireland. Henry alisema kuwa Emma alikuwa mwenye ari ya kufaulu na hivyo alistahili tuzo hilo. Mwalimu mkuu wa shule hiyo Keith Maher alisema "kila mmoja wetu alikuwa ameahidi kutotoboa siri hii ya wazo lake Henry mwenyewe kuingia darasani na kujitambulisha kama mwalimu mpya wa Biashara ,,,ilikuwa wazo zuri na limeibua muamkompya miongoni mwa wanafunzi.''
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • 10 REGIONS TO RECEIVE MAGUFULI'S 50 M/-
    The government of Tanzania to implement President John Magufuli’s promise to provide 50m/- to every village…
  • MAJIMBO MAPYA 26 YA UCHAGUZI
    TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MAJIMBO MAPYA 26 YA UCHAGUZI BAADA YA KUGAWANYWA
  • 20 BOKO HARAM LEADERS ARRESTED
    The DSS – Department of State Service’s has arrested 20 suspected leaders of the sect across the…
  • Mafuriko Yaua watu zaidi ya 30 Tanzania.
    Mvua ya Mawe Watu wasiopungua 30 wamepoteza maisha na wengine wasiopungu 80 kujeruhiwa baada ya mvua…
  • 7 OR MORE KILLED BY PARCEL BOMB IN SOUTHERN CHINA
    Guangxi, China. Authorities believe that the bombs were placed in express-delivery parcels, and have asked…
  • KENYA PAC FOUND MINISTRY SPENT SH.450,000 ON CONDOM DISPENSERS,PIANO,SH 1.7M ON TV
    Nairobi, Kenya. Devolution ministry spent Sh.450, 000 for 18 custom-made condom dispensers. The Devolution…
  • Nick Cannon files a Divorce from Mariah Carey
    Let's hope Mariah Carey has mastered the art of letting go. According to a new report…
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2014 - TANZANIA CSEE 2014 RESULT
    MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2014 BOFY HAPA CSEE 2014 RESULT CLICK HERE
  • GOODLUCK JONATHAN TO RECONCILE IN ZANZIBAR POLL STALEMATE
    Zanzibar. The Commonwealth has appointed former President Goodluck Jonathan to lead the charge for the…
  • J. WOLPER ANASWA AKITOKA NDANI YA JUMBA LA FREEMASON DAR ES SALAAM
    Pichani msanii wa sinema za Kibongo Wolper Mshtuko! Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE