GWAJIMA
BASTOLA NA RISASI ZA GWAJIMA
Tarehe 30/03/2015 waandishi wa habari walifika kituo Kikuu cha Polisi wakitaka kujua uhalali wa silaha iliyokamatwa tarehe 29/03/2015. Silaha hiyo ni Bastola aina ya BERRETA yenye namba CAT5802 ikiwa na risasi tatu. Pia zilikamatwa risasi 17 za Short Gun.

Ufafanuzu ni kama ifuatavyo:
Uchunguzi wa kina na wa kitaalam sasa umethibitisha kwamba silaha hiyo inamilikiwa kihalali na Askofu Josephat Gwajima. Kuhusu risasi 17 za Short Gun ni kwamba Askofu Gwajima anamiliki Bunduki aina ya Short Gun yenye namba 102837 ambayo inatumia risasi za aina  hizo zilizokamatwa.

Kuhusu watu 15 wanaotuhumiwa kujaribu kumtorosha Askofu Josephat Gwajima bado uchunguzi unaendelea. Aidha watu hao pia wanahojiwa kuhusu suala la kukutwa na silaha na risasi zilizotajwa hapo juu wakati wao sio wamiliki halali za silaha hiyo na risasi hizo na idadi iliyotajwa kwa mujibu wa sheria.

Baada ya uchunguzi wa suala hilo jalada la kesi litapelekwa kwa mwanasheria wa Serikali kabla hawajafikishwa mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake.


KAMISHNA WA POLISI KANDA MAALUM,
S. H. KOVA,
DAR ES SALAAM.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • 3 WAYS TO AVOID WHATSAPP FEE OR TRIAL PERIOD
    Are you the power user of WhatsApp? Before getting started, let me clear that we all know and use…
  • KURA YA MAONI YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA YAHAIRISHWA
    KURA YA MAONI YA KATIBA YAHAIRISHWA Tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC) imesema kuwa kura ya maoni ya…
  • Why, Your Supposed to do this Business? Celebrities and Ordinary people
    This is the business fit everyone either you are celebrity or ordinary person. Celebrities refers to…
  • KETER - NATIONAL ASSEMBLY SPEAKER BLOCKS WAIGURU IMPEACHMENT MOTION
    Nandi Hills MP Alfred Keter Alfred Keter Nandi Hills MP has now accused National Assembly Speaker Justin…
  • WAS OBAMA OR ZUMA RIGHT?
    During the 70th session of the United Nations General Assembly at United Nations headquarters in New York,…
  • MAGAZETI YA LEO, SOMA HAPA
    Tanzania Newspaper front pages. Kama kawaida Habari Duniani inakupa vichwa vya habari vya…
  • DANGOTE KUJENGA BANDARI YAKE MTWARA
    Alhaji Dangote akisikiliza maelezo ya eneo husika Mtwara Wakazi wa kijiji cha Mgao, kata Naumbu…
  • ARSENAL AGREED DEAL WITH VILLARREAL FOR GABRIEL PAULISTA WHILE JOEL CAMPBELL SWITH ON LOAN
    Gabriel Paulista say farewell to the Villarreal fans as he is given a yellow submarine as a farewell…
  • ARMY LAND CRUISER STOLEN
    Kenya; There is mystery surrounds the disappearance of a Kenya Army Land Cruiser from the Embakasi…
  • KWA NINI HIZI SHULE ZIMEPEWA HAYA MAJINA?
    SHULE YA MSINGI MADUDU SHULE YA MSINGI KITOBO SHULE YA MSINGI MKUNWA SHULE YA MSINGI…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE