BABA ASKOFU CARDINAL PENGO
ASKOFU PENGO
'Kuna mtu mmoja,ambaye hata jina lake silikumbuki,ameinuka na kunena maneno juu yangu,ambayo yamewaudhi baadhi hata yenu.Langu mimi kwake ni msamaha tu,nasema nimemsamehe kutoka ndani ya chembe ya moyo wangu kabisa.
Endapo liko jambo linafanywa na wakuu wa serikali,nadhani hao wanatekeleza tu wajibu wao.

UFUFUO NA UZIMA
JOSEPHAT GWAJIMA AKIONGOZANA NA VIONGOZI WA KANISA LA UFUFUO NA UZIMA

Mimi narudia tena, nimemsamehe tena kabisa na ninawaomba tumuombee ili Mungu adumishe amani ya Taifa hili.' Pengo amesema - PENGO.

GWAJIMA BAADA YA KUHOJIWA AZIMIA NA KULAZWA HOSPITAL

UFUFUO NA UZIMA
Gwajima akiwa hospitali
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • WATU MAARUFU WALIO BET KWA MAYWEATHER KUSHINDA
    P DIDDY Floyd Mayweather ndie mtu aliyepata pesa nyingi baada ya pambano akifuatiwa na Manny Pacquiao,…
  • MAJAMBAZI YAUA, BAADA YA KUFUNGA MTAA.
  • NAIROBI SENATOR HAS SUED NAIROBI GOVERNOR
    Mike Sonko, Nairobi senator has sued Dr Evans Kidero, Nairobi governor over a defamatory remark he…
  • 9 DECEMBER 2015 UHURU DAY CANCELLED - MAGUFULI
    President John Magufuli has ordered the cancellation of 9th December 2015 Independence Day Celebrations for…
  • Appeal Court summons Briton over Tigo deal
    Yusuf Manji who own Golden Globe, is reported to have acquired the shares in the telecommunications firm…
  • ESTER BULAYA KUTOGOMBEA KUPITIA CCM VITA NI YAKE NA WASSIRA BUNDA MJINI
    Aliyekua Mbunge wa Viti Maalu, Ester Bulaya ametangaza kutokugombea Ubunge kupitia CCM. Jimbo la Bunda…
  • MAGAZETI YA LEO, SOMA HAPA
    Tanzania Newspaper front pages. Kama kawaida Habari Duniani inakupa vichwa vya habari vya…
  • ALEXIS TSIPRAS WAZIRI MKUU WA UGIRIKI AJIUZURU
    UGIRIKI Waziri Mkuu wa Ukigiki (Alexis Tsipras) siku ya Alhamisi ametangaza kujiuzuru na…
  • HAKI ZAKO UWAPO MIKONONI MWA POLISI.
    UWAPO MIKONONI MWA POLISI FANYA HAYA   1. Askari akikuweka chini ya ulinzi muulize…
  • WAZIRI MKUU:CHAMA CHOCHOTE KINAWEZA KUSHIKA DOLA
    Waziri Mkuu Mizengo Pinda UPINZANI KUCHUKUA DOLA Chama chochote cha siasa nchini kina nafasi ya kushika…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE