Santi Carzola alifunga bao moja na kutengeza jengine na kuisadia Arsenal kuicharaza Mancity mabao 2-0 nyumbani Manchester.
Ushindi huo wa Arsenal pia ulisitisha msururu wa kutofungwa wa Mancity wa mechi 12.
Mchezaji wa Uhispania Santi Carzola aliyekuwa moto wa kuotea mbali dhidi ya Mancity alifunga mkwaju wa penalty baada ya beki wa Arsenal Nacho Monreal kuangushwa katika eneo la hatari na beki Vincent Kompany.

Arsenal iliongeza bao la pili katika kipindi cha pili baada ya mpira wa adhabu uliopigwa na Santi Carzola kuwekwa wavuni na Olivier Giroud.
Matokeo hayo yameiwacha City ikiwa na alama 5 chini ya viongozi wa ligi Chelsea.
City na Arsenal walitoka sare ya 2-2 wakati walipokutana kwa mara ya kwanza katika uga wa Emirates mnamo mwezi Septemba.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • AKUTWA NA FUNZA ZAIDI YA MIA MOJA 100
    Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE …
  • NAIROBI SENATOR HAS SUED NAIROBI GOVERNOR
    Mike Sonko, Nairobi senator has sued Dr Evans Kidero, Nairobi governor over a defamatory remark he…
  • KWA NINI HIZI SHULE ZIMEPEWA HAYA MAJINA?
    SHULE YA MSINGI MADUDU SHULE YA MSINGI KITOBO SHULE YA MSINGI MKUNWA SHULE YA MSINGI…
  • Tanzania launches Sustainable Energy for All SE4ALL
    Dar es Salaam, Tanzania launches Sustainable Energy for All (SE4ALL) today at Julius Nyerere International…
  • GWAJIMA: MAKONDA UNFIT FOR RC
    Dar es Salaam. Glory of Christ Tanzania Church Bishop Josephat Gwajima yesterday during the Sunday…
  • BRELA: BEI MPYA ZA USAJILI WA KAMPUNI NA JINA LA BIASHARA
    BUSINESS REGISTRATIONS AND LICENSING AGENCY …
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO YAANZA RASMI TANZANIA
    Waziri wa Mawasilaiano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa(Mb), akiongea na waandishi wa…
  • What to do before buying Land? Do not buy Land without reading this.
    QN How do I tell that a title deed or allotment letter is fake? This is very tricky, and sometimes…
  • MUHAMMAD ALI IS TEAM PACQUIAO
    Pacquiao and Muhammad Ali "My dad is Team Pacquiao all the way!" Everybody and their dog has…
  • WHY MOBIUS SEEKS NEW MONEY FOR MASS VEHICLE PRODUCTION?
    MOBIUS VEHICLE MANUFACTURE IN KENYA An investor at Mobius says it will sell equity stakes to a number of…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE