Santi Carzola alifunga bao moja na kutengeza jengine na kuisadia Arsenal kuicharaza Mancity mabao 2-0 nyumbani Manchester.
Ushindi huo wa Arsenal pia ulisitisha msururu wa kutofungwa wa Mancity wa mechi 12.
Mchezaji wa Uhispania Santi Carzola aliyekuwa moto wa kuotea mbali dhidi ya Mancity alifunga mkwaju wa penalty baada ya beki wa Arsenal Nacho Monreal kuangushwa katika eneo la hatari na beki Vincent Kompany.

Arsenal iliongeza bao la pili katika kipindi cha pili baada ya mpira wa adhabu uliopigwa na Santi Carzola kuwekwa wavuni na Olivier Giroud.
Matokeo hayo yameiwacha City ikiwa na alama 5 chini ya viongozi wa ligi Chelsea.
City na Arsenal walitoka sare ya 2-2 wakati walipokutana kwa mara ya kwanza katika uga wa Emirates mnamo mwezi Septemba.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • IS YAMCHOMA MOTO RUBANI WA JORDAN HADI KUFA
    Serikali ya Jordan imesema itachukua hatua kali za kulipiza kisasi kufuatia kundi la IS kutoa…
  • ASIJE MTU AKAWAAMBIA MPIGiE KURA YA NDIYO - ASEMA MWANACHAMA WA CCM
    Joseph Butiku, Mkurugenzi mtendaji wa Taasisi ya Mwalim Nyerere “Mchakato huu una mambo makuu mawili ya…
  • MAJAMBAZI YAUA, BAADA YA KUFUNGA MTAA.
  • MORSI JELA MIAKA 20 MISRI
    Raisi wa Zamani wa Misri, Mohammed Morsi Misri. Makahama nchini Misri imemhukumu aliyekuwa rais wa…
  • KCPE AND UACE EXAMS KICK OFF IN KENYA AND UGANDA
    Kenya. A total of 937,467 candidates are set to start the Kenya Certificate of Primary Education examination…
  • 9 DECEMBER 2015 UHURU DAY CANCELLED - MAGUFULI
    President John Magufuli has ordered the cancellation of 9th December 2015 Independence Day Celebrations for…
  • Relationship between Arsenal and Manchester City
    Arsenal and Manchester City have had numerous connections over the past 30 years, especially with a…
  • KATIBA INAYOPENDEKEZWA IMEFUTA MAMBO MUHIMU 70 - POLEPOLE ACHAMBUA
  • WHATSAPP MARUFUKU KWA WANAWAKE
    Whatsapp Marufuku kwa Wanawake Kiongozi wa Chechnya Ramzan Kadyrov amewataka wanaume kuwazuia wake…
  • KURA YA MAONI YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA YAHAIRISHWA
    KURA YA MAONI YA KATIBA YAHAIRISHWA Tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC) imesema kuwa kura ya maoni ya…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE