Santi Carzola alifunga bao moja na kutengeza jengine na kuisadia Arsenal kuicharaza Mancity mabao 2-0 nyumbani Manchester.
Ushindi huo wa Arsenal pia ulisitisha msururu wa kutofungwa wa Mancity wa mechi 12.
Mchezaji wa Uhispania Santi Carzola aliyekuwa moto wa kuotea mbali dhidi ya Mancity alifunga mkwaju wa penalty baada ya beki wa Arsenal Nacho Monreal kuangushwa katika eneo la hatari na beki Vincent Kompany.

Arsenal iliongeza bao la pili katika kipindi cha pili baada ya mpira wa adhabu uliopigwa na Santi Carzola kuwekwa wavuni na Olivier Giroud.
Matokeo hayo yameiwacha City ikiwa na alama 5 chini ya viongozi wa ligi Chelsea.
City na Arsenal walitoka sare ya 2-2 wakati walipokutana kwa mara ya kwanza katika uga wa Emirates mnamo mwezi Septemba.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • GWAJIMA: MAKONDA UNFIT FOR RC
    Dar es Salaam. Glory of Christ Tanzania Church Bishop Josephat Gwajima yesterday during the Sunday…
  • WATOTO WAFICHWA NA KUPATIWA MAFUNZO YA KIISLAM KWA SIRI
  • World's Richest person according to Forbes 2015
    Carlos Slim Helu …
  • ALEXIS TSIPRAS WAZIRI MKUU WA UGIRIKI AJIUZURU
    UGIRIKI Waziri Mkuu wa Ukigiki (Alexis Tsipras) siku ya Alhamisi ametangaza kujiuzuru na…
  • ESTER BULAYA KUTOGOMBEA KUPITIA CCM VITA NI YAKE NA WASSIRA BUNDA MJINI
    Aliyekua Mbunge wa Viti Maalu, Ester Bulaya ametangaza kutokugombea Ubunge kupitia CCM. Jimbo la Bunda…
  • HOLY FATHER POPE FRANCIS FALLS DOWN. IS HE OK?
    Poland: Pope Francis missed a step and fell to the ground Thursday as he walked on an open-air platform to…
  • 2017 ACSEE EXAMINATION RESULTS
    Matokeo ya Kidato cha Sita yametangazwa rasmi na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA). MATOKEO YA KIDATO…
  • BRITISH MUSLIMS CONDEMN THE PARIS ATTACKS
    On behalf of mosques and neighborhood groups, Muslim Council of Britain today they placed the following…
  • ASIJE MTU AKAWAAMBIA MPIGiE KURA YA NDIYO - ASEMA MWANACHAMA WA CCM
    Joseph Butiku, Mkurugenzi mtendaji wa Taasisi ya Mwalim Nyerere “Mchakato huu una mambo makuu mawili ya…
  • ENG KIJAZI IS NEW CHIEF SECRETARY
    President of Tanzania John Magufuli has appointed Engineer John Kijazi as Chief Secretary to replace…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE