Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi ya:

Basili Mramba

Daniel Yona

Gray Mgonja

Mahakama ya hakimu mkazi kisutu leo imewahukumu kwenda jela miaka mitatu na faini ya shilingi milioni tano kila mmoja aliyekuwa Waziri wa fedha Basili Mramba na aliyekuwa Waziri wa nishati na Madini Daniel Yona na kumuachia huru aliyekuwa Katibu mkuu Wizara ya Fedha Gray Mgonja.

Washtakiwa hao walikuwa wakituhumiwa kwa pamoja kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni 11.7 kwa kuisamehe Kodi Kampuni ya Alex Stewart ya Uingereza.
Akisoma hukumu hiyo iliyochukua muda mfupi kwa niaba ya jopo la mahakimu watatu, hakimu Sam Rumanyika amesema washtakiwa hao wametiwa hatiani pasipo shaka dhidi ya ushahidi wa kuthibitisha makosa yao kutoka upande wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambapo katika shitaka la kumi na moja la kusababisha hasara wamepewa adhabu hiyo ya shilingi milioni tano.

Hata hivyo baada ya hukumu hiyo mawakili wa utetezi wamedai kukata rufaa mahakama kuu baada ya kupata nakala ya hukumu.
Shauri hilo limedumu kwa takribani miaka saba tangu wafikishwe mahakamni hapo mwaka 2008.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • * TANZANIA BANS THE USE OF PUBLIC FUNDS ON CHRISTMAS AND NEW YEAR CARDS
    The government of Tanzania yesterday banned printing and distributing festive season cards ahead of this…
  • * WABUNGE WAPYA WA UKAWA (CUF, CHADEMA, NLD NA NCCR-MAGEUZI)
    MAJIMBO MAPYA YA UKAWA (CUF, CHADEMA, NLD NA NCCR-MAGEUZI) James Mbatia ashinda Ubunge…
  • Jordan puts female ISIL terrorist on death row
    Jordan has ordered a female terrorist with the ISIL to death row after the Takfiri group released a…
  • JAMES LEMBELI AONDOKA CCM
    James Lembeli James Lembeli, Mbunge wa Kahama aliyemaliza muda wake amekataa kubadili msimamo wake wa…
  • WHY MOBIUS SEEKS NEW MONEY FOR MASS VEHICLE PRODUCTION?
    MOBIUS VEHICLE MANUFACTURE IN KENYA An investor at Mobius says it will sell equity stakes to a number of…
  • BRITISH MUSLIMS CONDEMN THE PARIS ATTACKS
    On behalf of mosques and neighborhood groups, Muslim Council of Britain today they placed the following…
  • ARSENAL AGREED DEAL WITH VILLARREAL FOR GABRIEL PAULISTA WHILE JOEL CAMPBELL SWITH ON LOAN
    Gabriel Paulista say farewell to the Villarreal fans as he is given a yellow submarine as a farewell…
  • 3,000 Pupils share single Latrine, 250 make 1 Class.
    Teacher delivers a lesson GEITA. Students and staff at Ukombozi and Nyankumbu primary schools in Geita…
  • TODAY NEWSPAPER FRONT PAGES - TANZANIA
    Today Tanzania newspapers HabariDuniani brings Tanzania newspaper headlines at your finger tips. THE…
  • IS YOUR FRIEND GOING THROUGH HARD TIME?
    All of us have been sometime in our lives in very difficult situations when we got the support and strength…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE