Lowassa ajiunga Chadema

Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umesema umemkaribisha rasmi Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Edward Lowassa kujiunga nao katika harakati za kuking'oa Chama cha Mapinduzi (CCM).

Mbatia akimuongelea Lowassa

Mbatia: Tunamkaribisha rasmi aliyekuwa waziri mkuu mstaafu, Edward Ngoyaye Lowasa kujiunga na UKAWA, ni mchapakazi makini na mtekelezaji wa majukumu, UKAWA ndio tumaini la Tanzania, tusikubali kunyamaza pale ambapo sauti zetu zinazimwa kwa lazima. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki UKAWA, UKAWA ndio tumaini letu.

Mbatia: Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu, Mwanzoni wa mwezi wa nane(wiki ijayo) tutamtangaza mgombea wetu kwa mbwembwe, tumeshapiga hatua ambayo ni nzuri.

Lipumba juu ya Lowassa

"Lowasa alishasema yeyote mwenye ushahidi aulete..hapa tumekaribisha Watanzania wote kujiunga. Kuhusu CUF kusuasua UKAWA: Chama chetu hakijasusua bali kilikuwa kinafuata taratibu za chama na mkutano mkuu umebariki, yeyote atakaechaguliwa kupitia UKAWA, mimi nitamuunga mkono, chama kimebariki maamuzi haya, unapozungumza na mwenyekiti wa CUF basi ndio unazungumza na CUF.

Endelea kutembelea hapa kwa habari za kina na uhakika.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • BRELA: BEI MPYA ZA USAJILI WA KAMPUNI NA JINA LA BIASHARA
    BUSINESS REGISTRATIONS AND LICENSING AGENCY …
  • PLANE CARRYING 58 PASSENGERS CRASH
    A Taiwanese passenger aircraft with 58 people on board has crashed into a river outside Taiwan’s capital…
  • KINGUNGE: LOWASSA ANAKUBALIKA. CCM IMEPOTEZA MWELEKEO
    Kingunge Ngombale Mwiru ‘ametoroka’ chama hicho kutokana na kile alichokieleza kimepoteza…
  • Amazing Vehicles manufactured in Tanzania, East Afrika - Nyumbu
    Nyumbu A number of African countries chose  institutions of higher learning like universities to…
  • 2017 ACSEE EXAMINATION RESULTS
    Matokeo ya Kidato cha Sita yametangazwa rasmi na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA). MATOKEO YA KIDATO…
  • KITUO CHA RADIO KILICHOTANGAZA MAPINDUZI YA BURUNDI CHACHOMWA MOTO
    Kituo cha Radio Burundi …
  • LOWASSA AKARIBISHWA UKAWA KUPITIA CHADEMA
    Lowassa ajiunga Chadema Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umesema umemkaribisha rasmi Waziri Mkuu…
  • MAGAZETI YA LEO, SOMA HAPA
    Tanzania Newspaper front pages. Kama kawaida Habari Duniani inakupa vichwa vya habari vya…
  • ESTER BULAYA KUTOGOMBEA KUPITIA CCM VITA NI YAKE NA WASSIRA BUNDA MJINI
    Aliyekua Mbunge wa Viti Maalu, Ester Bulaya ametangaza kutokugombea Ubunge kupitia CCM. Jimbo la Bunda…
  • ARSENAL FAN COMMITS SUICIDE AFTER DEFEAT
    For losing a betting stake worth U.shs 500,000 when Monaco overcame Arsenal football club 3-1 in a…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE