Joseph Butiku,Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere
Joseph Butiku,Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere
Joseph Butiku,Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere amesema nchi inaongozwa na Katiba, lakini inashangaza viongozi wa chama chake cha CCM na vingine ndiyo wanaongoza kwa kuvunja sheria na taratibu.

“Huko nyuma kulikuwa na matatizo, lakini sasa chama changu (CCM) na vyama vingine ndiyo magwiji wa kuvunja taratibu,” alisema Butiku wakati akichangia hoja jana kwenye mdahalo wa umuhimu wa Kulinda Amani na Umoja uliorushwa moja kwa moja na ITV.

“Mtandao huo iliamua kufanya kazi nje ya CCM kwa sababu itikadi zao na sisi zilitofautiana. Eti wanasema CCM ni chama cha mizengwe kinawachelewesha kutajirika. Sasa hao watu ndiyo wameendelea kuwapo na kusababisha haya matatizo yaendelee,” alisema Butiku.

“Kama baadhi wa watu muhimu wapo nje, sasa mwenyekiti wetu (Rais Jakaya Kikwete) amekwenda kufanya nini huko? Kama viongozi wa CCM wameshampata mtu wanayemtaka (kugombea urais) wanakwenda Dodoma kufanya nini. Huku si kumkejeli Rais Kikwete?” alihoji.

Alisema viongozi hawafuati utaratibu, kila kitu lazima hela. “Sasa tunatoka kwenye utaratibu wetu wa vyama tunashiriki katika kufanya uovu. Kama haki inauzwa, hatuwezi kupata amani. Viongozi wanatoa rushwa hata kabla ya kupewa nchi. Je, wakipewa nchi itakuwaje?” alihoji.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • SUMAYE AJIUNGA UKAWA BAADA YA KUHAMA CCM
    Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya awamu ya tatu Mhe. Frederick Sumaye kujivua uanachana na kujiunga na…
  • KWA NINI HIZI SHULE ZIMEPEWA HAYA MAJINA?
    SHULE YA MSINGI MADUDU SHULE YA MSINGI KITOBO SHULE YA MSINGI MKUNWA SHULE YA MSINGI…
  • GWAJIMA: MAKONDA UNFIT FOR RC
    Dar es Salaam. Glory of Christ Tanzania Church Bishop Josephat Gwajima yesterday during the Sunday…
  • Wananchi wa Mwanza Wabomoa ujenzi wa Mtaa wa Makoroboi
    Wananchi wakiboboa Nguzo katika mtaa wa Makoroboi, Mwanza Normal 0 false false …
  • POPE - I'M WORRIED ABOUT MOSQUITOES NOT AL-SHABAAB
    Pope Francis commented on the terror threat facing African countries that he is set to visit during his…
  • BELGIUM ON HIGH TERRORISM ALERT
    Belgium is on high alert after a major anti-terror raid in which two suspected Islamist militants were…
  • Best European players and World Cup winner who will be missing in AFCON
    Jerome Boateng -Ghana, David Alaba - Nigeria and Kelvin Boateng - Ghana France National squad several…
  • 1st MAGUFULI'S CABINET RESHUFFLE
    Mwigulu Nchemba (MP) and Dr. Charles John Tizeba (MP) have been appointed by President John Magufuli of The…
  • MARIJUANA WORTH TSH 30 MILLION BURNT
    Nebuye village, Ukerewe. On Thursday members of the District Defense and Security Committee uprooted and…
  • 1 TV STATION & 15 RADIO STATIONS BANNED IN TANZANIA
    Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) have banned for three months fifteen out of the 20…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE