Mwanamume mmoja amekutwa na kuondolewa funza wapatao mia moja walio hai tena wanao kula kula puani mwake na kuruhusiwa aende nyumbani .Mwanamume huyo anatajwa kuwa na umri wa miaka sitini na mitano ,na watabibu wanasema funza hao walikuwa wamejichimbia ndani zaidi ya pua yake.
Tundu za pua ni mahali ambapo vijidudu virukavyo huweza kutaga mayai yao hapo na baadaye hugeuka kuwa funza.
Na wataalamu wa pua na koo wanasema kwamba chakula kikuu cha funza wakaao puani ni nyama za pua na endapo mgonjwa ataachwa bila kupatiwa matibabu ,funza hao wanauwezo wa kutafuna na kuharibu kabisa mfupa wa mwanzi wa pua,kuharibu vimishipa vya uso,pua na macho.
Na hali hiyo ikitokea,jua kutakuwa na maambukizi kwenye ubongo na macho na kwa kawaida husababisha ugonjwa wa uti wa mgongo na hata kifo.


Lakini baada ya kudumbukiza kijikamera kidogo puani mwake ,aligundulika
Madaktari wakaanza kuwatoa funza hao kwa muongozo wa kamera iliyokuwa ikiangaza puani na kuitibu pua yake.
Iliwachukua siku nne madaktari kuondoa uambukizo katika pua ya mwanaume huyo na baada ya hapo madhila yake yakakoma na baada ya uangalizi wa mwisho kwa kutumia kamera ile ile imethibitika kwamba tatizo lake lime kwisha.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • JAMES LEMBELI AONDOKA CCM
    James Lembeli James Lembeli, Mbunge wa Kahama aliyemaliza muda wake amekataa kubadili msimamo wake wa…
  • KWA NINI HIZI SHULE ZIMEPEWA HAYA MAJINA?
    SHULE YA MSINGI MADUDU SHULE YA MSINGI KITOBO SHULE YA MSINGI MKUNWA SHULE YA MSINGI…
  • 4 U MOVEMENT (TEAM LOWASSA) WAJIUNGA CHADEMA
    Vijana wanao aminika kua ni wafuasi wa Lowassa wahamia CHADEMA.
  • Xavi persuading signing of Santi Cazorla and Silva to Barcelona
    Xavi has hailed the talents of David Silva and Santi Cazorla, admitting he would love to…
  • MORSI JELA MIAKA 20 MISRI
    Raisi wa Zamani wa Misri, Mohammed Morsi Misri. Makahama nchini Misri imemhukumu aliyekuwa rais wa…
  • 300 EMPLOYMENT OPPORTUNITY AT TRA
    300 people in different job positions this year will be employed by the Tanzania Revenue Authority (TRA) to…
  • 32 DEAD, 80 WOUNDS IN YOLA, NIGERIA EXPLOSION
    Yola, Nigeria. An explosion occurred in the city of Yola, Nigeria. The night-time blasts ripped through…
  • Arsenal: Coquelin is my Insurance - Ramsey
    Aaron Ramsey says Francis Coquelin's presence in midfield has given him more license to go…
  • WATANGAZA NIA WALIOENDA KWA TB JOSHUA
    Mwaka 2015 ni mwaka wa uchaguzi nchini Tanzania. Kupitia wanachama  mbalimbali nchini kutangaza nia…
  • ARSENAL FAN COMMITS SUICIDE AFTER DEFEAT
    For losing a betting stake worth U.shs 500,000 when Monaco overcame Arsenal football club 3-1 in a…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE