Serikali ya Jordan imesema itachukua hatua kali za kulipiza kisasi kufuatia kundi la IS kutoa video inayoonesha rubani wake aliyetekwa na kundi hilo akichomwa moto hadi kufa. Serikali ya Jordan imesema inajiandaa kumnyonga mwanamke wa Iraq ambaye kundi la IS lilitaka aachiwe huru. Mfalme Abdullah wa Jordan amelaani tukio hilo na kulitaja kuwa ni tukio la kigaidi la uoga.

"Katika wakati huu mgumu, ni wajibu wa wajordan wote kuungana na kuonesha nguvu katika mapambano dhidi ya ugaidi, tukio hili litatupa nguvu zaidi kupambana na ugaidi."

Mfalme Abdullah ambaye yuko ziarani nchini Marekani amekatisha ziara yake kutokana na tukio hilo na kurudi nyumbani. Rais Barack Obama wa Marekani pia alilaani vikali tukio hilo.

"Hili ni moja ya matukio yanayoonesha ukatili na unyama wa kundi hili, nadhani tutaongeza juhudi na nia yetu kwenye ushirikiano wa dunia kuhakikisha kundi hilo linashindwa."


Katibu Mkuu wa Umoja wa mataifa Bw Ban Ki Moon amelaani tukio hilo, na kusema kundi la IS halithamini maisha ya binadamu.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
  • _ POPE TO VISIT KENYA, UGANDA AND CENTRAL AFRICAN REPUBLIC IN NOVEMBER
    Kenyas Catholic looks forward to Pope Francis’ first visit from November 25 to 27. On Sunday they will begin…
  • POPE - I'M WORRIED ABOUT MOSQUITOES NOT AL-SHABAAB
    Pope Francis commented on the terror threat facing African countries that he is set to visit during his…
  • TANZANIA CABINET ANNOUNCED BY MAGUFULI
    Dar es Salaam. Tanzania President John Magufuli announced his cabinet of only 18 ministries led by 19…
  • HOW TO GET CRIMINAL DEFENSE ATTORNEY?
    Were you arrested in Tanzania for a crime against a person (like assault and battery, rape, or murder), a…
  • BELGIUM ON HIGH TERRORISM ALERT
    Belgium is on high alert after a major anti-terror raid in which two suspected Islamist militants were…
  • _ POPE TO VISIT KENYA, UGANDA AND CENTRAL AFRICAN REPUBLIC IN NOVEMBER
    Kenyas Catholic looks forward to Pope Francis’ first visit from November 25 to 27. On Sunday they will begin…
  • WATU ZAIDI YA 400 WAZAMA NA MELI
    Meli ikiwa imebeba zaidi ya watu 450 imezama baada ya kukumbwa na upepo mkali katika Mto Yangtze kusini…
  • TANZANIA YAFUZU KUCHEZA KOMBE LA DUNIA
    Baada ya kufungwa na Kenya, timu ya Tanzania imeibuka na kuifunga Nigeria kwa wiketi tatu katika mwendelezo…
  • SMUGGLER'S IMPOUNDED TANZANITE AUCTIONED IN ARUSHA GEM FAIR
    Arusha. Tanzanite gemstones valued at more than 2.5 billion/- were auctioned during the recently held Arusha…
  • . UK DONATES KSH 500M TO KENYA FOR FIGHT DROUGHT
    Nairobi, Kenya: Britain will donate more than Sh500 million to complement Kenya’s efforts towards mitigating…

SOCIALIZE

twitterfacebookgoogle plusemail

IN CASE YOU MISSED IT

FOR INSURANCE SERVICES CLICK HERE